Hata wewe!Sasa huyo Haji Ugando si ni kijana wenu huyo! Amefanya makusudi bila shaka ili kuhalalisha kichapo cha magoli mengi kwa timu yake.
Yaani amuumize beki wakutusaidia match ya kimataifa kisa haka ka match?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe!Sasa huyo Haji Ugando si ni kijana wenu huyo! Amefanya makusudi bila shaka ili kuhalalisha kichapo cha magoli mengi kwa timu yake.
Ndivyo mlivyo,hamna kaba,kidogo tuu matusiUna mawazo ya kisenge kweli aisee,huwa unawaza nini sijui kama binti vile
Dk ya 87 Yanga Anapata hiki Nipo kwenye gari pale kinondoni🤣🤣😂😂😂sio kweli
Naunga mkono hojaNyie wagosi hakikisheni hamumkabi balekeView attachment 2757152
Ndo maana hata wakishinda leo hawapati number 1 yao ni 3 tu🤣🤣🤣😁
Amebanduliwaana leta mbwembwe kakutana na ugando mbwembwe zote kwisha
kimataifa mnatakiwa mtokeHata wewe!
Yaani amuumize beki wakutusaidia match ya kimataifa kisa haka ka match?
Uko sahihi kabisa. Arajiga kaenda kuangalia Kwanza Mguu wa Inonga,, alichokiona akachomoa Kadi nyekundu. Faulo ya kipuuzi kabisa.Faulo aliochezewa inonga sijapenda aisee japo mie ni yanga ile sio mpira ni hatari mno
Kuwa na mashabiki wa aina hii ni mzigo kwa wachezaji, benchi la ufundi, na timu kwa ujumla.Rage hakukosea,leo kuanzia kocha mpaka wachezaji wote wataonekana wa maana
Sent using Jamii Forums mobile app
mapema sanaAmebanduliwa
Inonga kaondoka na Ambulance ujueSasa huyo Haji Ugando si ni kijana wenu huyo! Amefanya makusudi bila shaka ili kuhalalisha kichapo cha magoli mengi kwa timu yake.
Af Baada ya kusawazishwa ikawaje? Tulieni dawa iwaingieIkumbukwe tu kuwa pamoja na kucheza na tawi na ndio inayoongoza kuwapa magoli mengi lakini natoa angalizo. Mechi dhidi ya Mtimbwa, Simba ilitangulia kwa magoli mawili na yote yakasawazishwa
Huyu Baleke si tuliongopewa kuwa kapigwa misumari?. Halafu Hawa Coastal na Namungu ni matawi ya mnyama ambayo GSM ameamua kuwapa udhamini ili waje waifunge Simba! Kulikoni Tena wanakuwa urojo!Balekeeee yule yule
Maelekezo yazingatiweNyie wagosi hakikisheni hamumkabi balekeView attachment 2757152
😂😂😂🤣🤣😁Lina point 3 na nimekuwa wa kwanza kakaDk ya 87 Yanga Anapata hiki Nipo kwenye gari pale kinondoni
mie nimeipenda sana maana aliwahi mchezea hovyo sure boy akajiona mtoto wa mjini sasa kaoneshwa na haji ugando uhuni ni niniFaulo aliochezewa inonga sijapenda aisee japo mie ni yanga ile sio mpira ni hatari mno
NakaziaMaelekezo yazingatiwe