FT: Simba 3-0 Coastal Union | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 21.09.2023

FT: Simba 3-0 Coastal Union | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 21.09.2023

Na pale Yanga walipokosa misimu minne mfululizo, baadaye misimu miwili wakabeba kombe, je walibebwabebwa?
Wanasimba ndiyo walikuwa wa kwanza kukosa huo ubingwa wa TZ PL mara 4 mfululizo baada ya Bingwa wako Yanga FC kubeba mara 3 mfululizo akifuatiwa na Azam FC.

Aden Rage alikuwa sahihi sana kuwaita Mashabiki wa Simba MBUMBUMBU PRO MAX.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hizi Camera za Azam tupo live lakini utafikiri ni kama tunasimuliwq
 
Coach wa simba
Hii match hata sub anachelewesha?! Akina chilunda, kubu, mwenda na wengine
 
Back
Top Bottom