Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Wanasimba ndiyo walikuwa wa kwanza kukosa huo ubingwa wa TZ PL mara 4 mfululizo baada ya Bingwa wako Yanga FC kubeba mara 3 mfululizo akifuatiwa na Azam FC.Na pale Yanga walipokosa misimu minne mfululizo, baadaye misimu miwili wakabeba kombe, je walibebwabebwa?
iliwapiga watu fulani msimu uliopitaIHEFU iheshimiwe!
Kupitia tobo lake lipi..Anatakiwa ajifunze zaidi kwa Aziz Ki anayetoa assist kupitia matobo
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaAnatakiwa ajifunze zaidi kwa Aziz Ki anayetoa assist kupitia matobo
kunywa maji ya Uhai upunguze preshaWanasimba ndiyo walikuwa wa kwanza kukosa huo ubingwa wa TZ PL mara 4 mfululizo baada ya Bingwa wako Yanga FC kubeba mara 3 mfululizo akifuatiwa na Azam FC.
Kweli rage akukosea kuwaita mbumbumbu yaani mayele alikuwa As Vita Club 😂🤣😁😁AS Vita Club
Azam TV hawawezi kuweka camera za bei ghali kwa futuhi kama hiiHizi Camera za Azam tupo live lakini utafikiri ni kama tunasimuliwq
AseeeeYeye Inonga wakati anawachezea wenzake hovyo alikuwa anapata nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ka mjamzito...na kutema mate
Acha hao wacheze wawe fit kwa ajili ya DynamosCoach wa simba
Hii match hata sub anachelewesha?! Akina chilunda, kubu, mwenda na wengine
Anachelewesha?Coach wa simba
Hii match hata sub anachelewesha?! Akina chilunda, kubu, mwenda na wengine
Ndio uwezo wenu ulipoishia,Arajiga kashamaliza kazi yake first half sasa ni zamu yenuGoli 10 zitafika kweli mbona naona kama tunacheleweshana hapa
Mpira wa kiume hata uoneshwe kwa kiswaswadu watu tutashinda tu