FT: Simba 3-0 Coastal Union | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 21.09.2023

FT: Simba 3-0 Coastal Union | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 21.09.2023

Benchi la ufundi,wampelekee kimemo huyu refa,aongeze dakika hata kumi, yawezekana Simba wakaondoa hii sintofahamu ya wao kushindwa kufunga kipindi cha pili,tena Coastal wakiwa pungufu.Inafikirisha sana hii.
 
Benchi la ufundi,wampelekee kimemo huyu refa,aongeze dakika hata kumi, yawezekana Simba wakaondoa hii sintofahamu ya wao kushindwa kufunga kipindi cha pili,tena Coastal wakiwa pungufu.Inafikirisha sana hii.
Umesahau mlitoka sare ya 3-3 na Coastal Union?
 
Benchi la ufundi,wampelekee kimemo huyu refa,aongeze dakika hata kumi, yawezekana Simba wakaondoa hii sintofahamu ya wao kushindwa kufunga kipindi cha pili,tena Coastal wakiwa pungufu.Inafikirisha sana hii.
Utopolo mnajifikirisha, why Simba imeshinda 3....! Ndo Soka Lilivyo
 
Simba hawana furaha, walitaka magoli 8 ili wapigwe ubaridi pale juu
 
Naunga mkono hoja
Hapana,tunene uhalisia,hivi kweli unaamini timu inaweza ikapigwa tatu kipindi cha kwanza,halafu kipindi cha pili,tena timu pinzani wakiwa pungufu,washindwe hata kufunga goli moja?
Huoni kuna walakini?
Ikitokea tume huru ikiundwa,huoni Simba na Coastal watafungiwa?
Daaah! inasikitisha sana.
 
Hapana,tunene uhalisia,hivi kweli unaamini timu inaweza ikapigwa tatu kipindi cha kwanza,halafu kipindi cha pili,tena timu pinzani wakiwa pungufu,washindwe hata kufunga goli moja?
Huoni kuna walakini?
Ikitokea tume huru ikiundwa,huoni Simba na Coastal watafungiwa?
Daaah! inasikitisha sana.
Walakini gani?.Kwani hiyo timu pinzani wao hawarekebishi makosa yao.Au kazi ya mwalimu ni nini sasa?.
 
Simba hawana furaha, walitaka magoli 8 ili wapigwe ubaridi pale juu
Hizo 5 zilizopungua tutakuja kumpiga utopolo. Ukibisha nakuwekea picha. Au ngoja niweke hata kabla haujabisha:

1695308422100.png
 
😂🤣😁😁🤣🤣kolo haujui kitu
Kanuni za ligi zilibadilika tangu mwaka juzi. Kabla ya kuangalia mabao ya kufunga na kufungwa, kinachoangaliwa ni Head to Head, ni kwa kuwa tu bado Simba na Yanga hawajakutana. Unaweza ukawa na mabao mengi, ila kama mnayelingana naye point alikukanda, anakuwa juu yako
 
Sioni tukipoteza mechi yoyote msimu huu, timu yetu imeenea. Tuna kikosi kizuri na kipana sana.

Ova
 
Hapana,tunene uhalisia,hivi kweli unaamini timu inaweza ikapigwa tatu kipindi cha kwanza,halafu kipindi cha pili,tena timu pinzani wakiwa pungufu,washindwe hata kufunga goli moja?
Huoni kuna walakini?
Ikitokea tume huru ikiundwa,huoni Simba na Coastal watafungiwa?
Daaah! inasikitisha sana.

3g inatosha. Tuna mechi muhimu zaidi dhidi ya Power Dynamos. Nadhani tume huru ichunguze ichunguze kwa nini wachezaji wa Simba wanaumizwa kwenye mechi dhidi ya timu zinazoongozwa na watu wenye mahusiano na Utopolo. Leo Coastal ya Zahera kaumia Inonga, mwaka jana Singida ya Pluijm na yule mmiliki walimuumiza Phiri
 
Walakini gani?.Kwani hiyo timu pinzani wao hawarekebishi makosa yao.Au kazi ya mwalimu ni nini sasa?.
Walakini upo,why iwezekane wakiwa wote,ishindikane wakiwa pungufu...?
 
Back
Top Bottom