Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Kabla ya red card walikshakula 2-0. Acha wacheze kwa tahadhari, mwenzao ameshavunjwa mguumkombunye wameshindwa kufikisha hata goli4 kwa timu iloyopoungufu toka dakika ya21.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya red card walikshakula 2-0. Acha wacheze kwa tahadhari, mwenzao ameshavunjwa mguumkombunye wameshindwa kufikisha hata goli4 kwa timu iloyopoungufu toka dakika ya21.
Karma is real
Umesahau mlitoka sare ya 3-3 na Coastal Union?Benchi la ufundi,wampelekee kimemo huyu refa,aongeze dakika hata kumi, yawezekana Simba wakaondoa hii sintofahamu ya wao kushindwa kufunga kipindi cha pili,tena Coastal wakiwa pungufu.Inafikirisha sana hii.
Camera chache nyingine zimewekwa kwaajili ya mechi ya azam ya saa moja
Utopolo mnajifikirisha, why Simba imeshinda 3....! Ndo Soka LilivyoBenchi la ufundi,wampelekee kimemo huyu refa,aongeze dakika hata kumi, yawezekana Simba wakaondoa hii sintofahamu ya wao kushindwa kufunga kipindi cha pili,tena Coastal wakiwa pungufu.Inafikirisha sana hii.
Ndiyo fani yenu hii mliyojaliwa. Halafu unayemtukana mwenyewe usikute ndiyo baba yako wa kambo.
Hapana,tunene uhalisia,hivi kweli unaamini timu inaweza ikapigwa tatu kipindi cha kwanza,halafu kipindi cha pili,tena timu pinzani wakiwa pungufu,washindwe hata kufunga goli moja?
Huoni kuna walakini?
Ikitokea tume huru ikiundwa,huoni Simba na Coastal watafungiwa?
Daaah! inasikitisha sana.
Walakini gani?.Kwani hiyo timu pinzani wao hawarekebishi makosa yao.Au kazi ya mwalimu ni nini sasa?.Hapana,tunene uhalisia,hivi kweli unaamini timu inaweza ikapigwa tatu kipindi cha kwanza,halafu kipindi cha pili,tena timu pinzani wakiwa pungufu,washindwe hata kufunga goli moja?
Huoni kuna walakini?
Ikitokea tume huru ikiundwa,huoni Simba na Coastal watafungiwa?
Daaah! inasikitisha sana.
Papatu lilikuwa jana mpk tulipohurumiwa na Kaze na Nsajigwahamna lolote timu yenu galasa clean sheet ziko yanga nyie labda papatu papatu.
Hizo 5 zilizopungua tutakuja kumpiga utopolo. Ukibisha nakuwekea picha. Au ngoja niweke hata kabla haujabisha:Simba hawana furaha, walitaka magoli 8 ili wapigwe ubaridi pale juu
Kanuni za ligi zilibadilika tangu mwaka juzi. Kabla ya kuangalia mabao ya kufunga na kufungwa, kinachoangaliwa ni Head to Head, ni kwa kuwa tu bado Simba na Yanga hawajakutana. Unaweza ukawa na mabao mengi, ila kama mnayelingana naye point alikukanda, anakuwa juu yako
Papatu lilikuwa jana mpk tulipohurumiwa na Kaze na Nsajigwa
Kaanze na inonga kwanzaHizo 5 zilizopungua tutakuja kumpiga utopolo. Ukibisha nakuwekea picha. Au ngoja niweke hata kabla haujabisha:
View attachment 2757244
Hapana,tunene uhalisia,hivi kweli unaamini timu inaweza ikapigwa tatu kipindi cha kwanza,halafu kipindi cha pili,tena timu pinzani wakiwa pungufu,washindwe hata kufunga goli moja?
Huoni kuna walakini?
Ikitokea tume huru ikiundwa,huoni Simba na Coastal watafungiwa?
Daaah! inasikitisha sana.
Walakini upo,why iwezekane wakiwa wote,ishindikane wakiwa pungufu...?Walakini gani?.Kwani hiyo timu pinzani wao hawarekebishi makosa yao.Au kazi ya mwalimu ni nini sasa?.