Tupe na ushahidiKanuni za ligi zilibadilika tangu mwaka juzi. Kabla ya kuangalia mabao ya kufunga na kufungwa, kinachoangaliwa ni Head to Head, ni kwa kuwa tu bado Simba na Yanga hawajakutana. Unaweza ukawa na mabao mengi, ila kama mnayelingana naye point alikukanda, anakuwa juu yako
Hii alifungwa kweli au ya kutengeneza tu?Hizo 5 zilizopungua tutakuja kumpiga utopolo. Ukibisha nakuwekea picha. Au ngoja niweke hata kabla haujabisha:
View attachment 2757244
Wao siyo wa kwanza kuumizwa.Kuhusu Dynamo.. mnakuja kutolewa,save hii komenti.3g inatosha. Tuna mechi muhimu zaidi dhidi ya Power Dynamos. Nadhani tume huru ichunguze ichunguze kwa nini wachezaji wa Simba wanaumizwa kwenye mechi dhidi ya timu zinazoongozwa na watu wenye mahusiano na Utopolo. Leo Coastal ya Zahera kaumia Inonga, mwaka jana Singida ya Pluijm na yule mmiliki walimuumiza Phiri
Ilikuwa Vodacom, sasa hivi ni NBC, hiki siyo zama za akina Yikpe, hizi ni zama za akina Pacome, mnaishi kwa historia, Yanga wanaishi sasaHizo 5 zilizopungua tutakuja kumpiga utopolo. Ukibisha nakuwekea picha. Au ngoja niweke hata kabla haujabisha:
View attachment 2757244
Naunga mkono hojaWao siyo wa kwanza kuumizwa.Kuhusu Dynamo.. mnakuja kutolewa,save hii komenti.
Hizo 5 zilizopungua tutakuja kumpiga utopolo. Ukibisha nakuwekea picha. Au ngoja niweke hata kabla haujabisha:
View attachment 2757244
Hahahaha,bado mtasema na mumshukuru Arajiga kwa kuwatoa Coast mchezenoHii Simba mi naona mbovu tu halafu inaridhika haraka. Hili Kibu nalo lafa tu. Nimechukia Sana, maana wachezaji hawaelewi Ligi ya mwaka huu ngumu kiasi gani kwa hivyo kushinda idadi kubwa ya magoli ni muhimum
Wewe kweli kilaza,kinachoanza kwanza ni GD mkilingana ndio inakuja head to head.Kanuni za ligi zilibadilika tangu mwaka juzi. Kabla ya kuangalia mabao ya kufunga na kufungwa, kinachoangaliwa ni Head to Head, ni kwa kuwa tu bado Simba na Yanga hawajakutana. Unaweza ukawa na mabao mengi, ila kama mnayelingana naye point alikukanda, anakuwa juu yako
Hakuna timu hapo,Arajiga apewe maua yakeKabla ya red card walikshakula 2-0. Acha wacheze kwa tahadhari, mwenzao ameshavunjwa mguu
Unafananisha fainali na hii futuhi ya leoUmesahau mlitoka sare ya 3-3 na Coastal Union?
Kamoja Fc mna hasira???
Mtani jembe hiyoIlikuwa Vodacom, sasa hivi ni NBC, hiki siyo zama za akina Yikpe, hizi ni zama za akina Pacome, mnaishi kwa historia, Yanga wanaishi sasa
Naona kiharage kinakuwashaMnaleta kejeli si mnawashwa nyie,moto tuu na wewe nimekutukana
Leta msimamo wewe kolokwinyoKamoja Fc mna hasira???
Wanaume walikua kazini sio wacheza Amapiano...
Huyu ni kilaza pro max kabisaWewe kweli kilaza,kinachoanza kwanza ni GD mkilingana ndio inakuja head to head.
Sent using Jamii Forums mobile app