Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tumwache amalizie chapMod aliezamu yuko busy anatomb*na? Mbona habadilishi ubao
Kesha rekebisha naona tulia sasa 😂Ubao wa NBC 1 bila
Bora cjaenda kutazama upuuz huoViti maalum Fc!! Siyo kwa kubebwa huku na mwamuzi!! Poleni sana kagera Sugar kwa huu uonevu mliofanyiwa na huyu mwamuzi wa mchongo.
Huyo ndo kirusi chenyewe kwenye timu kaka.....Simba inasumbuka kupata magoli kwa sababu kiungo ya Simba haimsaidii mshambuliaji kutengeneza nafasi, pasi nyingi zisizo na malengo zinachezwa nyuma halafu wakifika kati wanakosa ubunifu wa kufika kwenye box. Na kibaya zaidi hakuna hata mmoja, labda Phiri tu wa kupiga mashuti ya mbali.
Bado naamini Saidoo ni hasara kuliko faida kwa Simba, jasho lake na penati zake zinatudanganya sana.
Amekosa hata nguvu ya kubadilisha kwa penalt ya kulazimishwaKwahyo moderators mmegoma kubadili hapo juu?? Basi msibadili
Scars marudio unaangalia Azam tv kwenye uchambuzi? Umeona kuna kosa lolote kwenye penati Mpaka irudiwe?Mbona maelezo haya hatukuwaona mkiyatoa kwa Ally Salim?
TumemstuaKesha rekebisha naona tulia sasa 😂
Aisee umefanya maamuzi sahihi.Bora cjaenda kutazama upuuz huo
Vp sasa hivi baada ya kuangalia picha za marejeo ya AZAM Tv umeamini maneno yangu?Sio kweli hilo angeliona mwamuzi wa kati, lkn kama aliyekataa ni Kibendera maana yake amedai kipa alitoka miguu yote.
Wewe unaangaliaAisee umefanya maamuzi sahihi.
Ahsante mkuuMoja bila.