Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje?Mod wa leo ni uto
Phiri aende nje tu baleke aingie pale mbele. huu uwanja ni ngumu kufunga magoli mengi, Mzamiru pia aende nje aingie miguvu mingi akili kidogo KibuSimba waongeze ukali kidogo kwenye mashambulizi.
Kuna goal za kutosha hapa
Sio kweli hilo angeliona mwamuzi wa kati, lkn kama aliyekataa ni Kibendera maana yake amedai kipa alitoka miguu yote.Penalty imerudiww kwasababu ya wachezaji wa simba na Kagera waliingia kwenye box kabla ya penalty haijapigwa na Saido
Nenda kachezeshe wewe man..Tunaongelea mpira sio utimu.
Hapo juu bado ubao wa jf ni bila bilaUmejuaje?
Ningeweka bila kupepesa macho sema betting ilishanipitia kushoto.Jaribu uone utakachokutana nacho Yan hutaamini
Hajabadili score boardUmejuaje?
Sawa Aisha ngoja tusubirie.Mkishinda mimi aisha
Kalala naonaModerator umepigaje hapo?