denoo JG
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 2,701
- 9,759
Mna visirani sana.Marefa wa kibongo aisee, mchezaji wa Kagera anachezewa faulo lakini maamuzi yanafanyika kinyume chake.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mna visirani sana.Marefa wa kibongo aisee, mchezaji wa Kagera anachezewa faulo lakini maamuzi yanafanyika kinyume chake.
Tunaongelea mpira sio utimu.
Inabidi uache kuufuatilia ili usiwe na makasirikoMpira wa bongo ni takataka
Kabisa Marefa wa Bongo Nyosso sanaViti maalum Fc!! Siyo kwa kubebwa huku na mwamuzi!!
Ile ya Kanoute ilikuwa ni faulo kweli siwezi kupinga kabisaMarefa wa kibongo aisee, mchezaji wa Kagera anachezewa faulo lakini maamuzi yanafanyika kinyume chake.
TumebebekaViti maalum Fc!! Siyo kwa kubebwa huku na mwamuzi!! Poleni sana kagera Sugar kwa huu uonevu mliofanyiwa na huyu mwamuzi wa mchongo.
Sheria iko wazi mguu mmoja lazima uwe umebakia, acha ushabiki maandazi Kiazi wewe.Kipindi anadaka zile penati dogo Ally Salim tuliwasikia mkisema kuwa Ally Salim alikuwa anatoka kwenye mstari kabla ya penati kupigwa.
Mkaenda mbali kusema kukiwa na refa makini penati zote zingerudiwa
Leo kachezesha refa makini natumaini mneridhika