changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Bora umekuwa mkweli. Refa inawezekana amebet hii mechi hivyo alilitafuta goli kwa udi na uvumba, sio kwa penati ile aisee.Ile ya Kanoute ilikuwa ni faulo kweli siwezi kupinga kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umekuwa mkweli. Refa inawezekana amebet hii mechi hivyo alilitafuta goli kwa udi na uvumba, sio kwa penati ile aisee.Ile ya Kanoute ilikuwa ni faulo kweli siwezi kupinga kabisa
Kuna ile kanoute kafanyiwa faulo na kipa ndani ya penalty box wakati kashapiga kichwa ile ulaya tuta lileIle ya Kanoute ilikuwa ni faulo kweli siwezi kupinga kabisa
Kwani ni ngapi ngapi, sie wengine hatujui kinachoendelea maana tanesco wamefanya yao hukuHajabadili score board
Kabla ya ile failo, mchezaji wa Kagera alikuwa ana u clear ule mpira kwa kichwa lakini kachezewa vibaya sana na Kanoute hadi akaanguka chini pasipo kuucheza ule mpira. Ilitakiwa Kagera ndio wapige faulo ila refa akafumba macho ili tu Simba ipate goli.Hakuna aliyebebwa hapa.
Kagera wamezidiwa makosa mengi yanatokea kwasababu wameamua kupack Bus
Ibaki hvyo hvyoKwahyo moderators mmegoma kubadili hapo juu?? Basi msibadili
4-0Kwani ni ngapi ngapi, sie wengine hatujui kinachoendelea maana tanesco wamefanya yao huku
Na ubao wa TFF ni ngapi ngapi?Hapo juu bado ubao wa jf ni bila bila
Refa ni binadamu pia.Kabla ya ile failo, mchezaji wa Kagera alikuwa ana u clear ule mpira kwa kichwa lakini kachezewa vibaya sana na Kanoute hadi akaanguka chini pasipo kuucheza ule mpira. Ilitakiwa Kagera ndio wapige faulo ila refa akafumba macho ili tu Simba ipate goli.
Mbona maelezo haya hatukuwaona mkiyatoa kwa Ally Salim?Sheria iko wazi mguu mmoja lazima uwe umebakia, acha ushabiki maandazi Kiazi wewe.
Ubao wa NBC 1 bilaNa ubao wa TFF ni ngapi ngapi?
Huenda yupo mbali na device atarakebisha akirudi ofisiniHaifanyi mabadiliko kwenye Ubao