Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikuwa tunaumizwa na Mpira ' Objective ' ametutesa sana, do! Afadhali Sasa tunapumuaTulikuwa tuna struggle mwanzoni kwa sababu ya aina ya uchezaji.
Kwasasa tutampiga yeyote ndani ya ligi bila kujali ni wapi na muda gani
Reserve this.
Ebu Mhenga unaikumbuka hii list enzi hizo Uwanja wa Taifa Sasa ni Uhuru,Kweli
Sibishi, mimi siyo chicken spring. Hata muda niliotumia kama member hapa JF ni zaidi ya umri wa wanachama wengi leo.
Muda uliokaa hapa JF ni zaidi ya nusu ya umri wa Saint Anne na Ms eyesKweli
Sibishi, mimi siyo chicken spring. Hata muda niliotumia kama member hapa JF ni zaidi ya umri wa wanachama wengi leo.
July 7 1974 siyo ?Humu tupo wakongwe wengi tu katika uwanja huo nimepiga haraiki ya miaka 20 ya TANU
1974 Uwanja wa Taifa (Uhuru) vijana tulikuwa tunaruka ukuta kuingia uwanjani, zaidi ya hapo tulikuwa tunasubiria dakika za fungulia mbwaJuly 7 1974 siyo ?
Ukute wewe ni umri wako kabisa ,hiyo 2006 ndio umezaliwa😂Muda uliokaa hapa JF ni zaidi ya nusu ya umri wa Saint Anne na Ms eyes
Mimi hiyo 2006 nilikuwa shababi kabisa above 18.Ukute wewe ni umri wako kabisa ,hiyo 2006 ndio umezaliwa[emoji23]
Hivi ulikuwa umeshaanza kutambaa huo mwaka?[emoji23][emoji23][emoji23]Ukute wewe ni umri wako kabisa ,hiyo 2006 ndio umezaliwa[emoji23]
😂😂😂😂Nilikuwa mkubwa tayariHivi ulikuwa umeshaanza kutambaa huo mwaka?[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umekula chumvi nyingi unakaribia kustaafu1974 Uwanja wa Taifa (Uhuru) vijana tulikuwa tunaruka ukuta kuingia uwanjani, zaidi ya hapo tulikuwa tunasubiria dakika za fungulia mbwa
We kwenda hukoMimi hiyo 2006 nilikuwa shababi kabisa above 18.
Ndiyo kwanza unajifunza kuita baba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa mkubwa tayari
Nilikuwa 19 kabisaa [emoji3]We kwenda huko
Tuone Cheti
Hebu tuone chetiNilikuwa 19 kabisaa [emoji3]
Sema huyu jamaa kichuguu khaahNdiyo kwanza unajifunza kuita baba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni member wa kwanza kwanza kujiunga JfSema huyu jamaa kichuguu khaah
Yaani 2006 yeye mwenzetu ndo anajiunga jf [emoji119]