Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 4,033
- 8,805
Nilikanyaga mara kadhaa ule uwanja, kama hawajaufanyia marekebisho ya pitch, hakika ni uwanja wa hovyo.Moja kati ya viwanja ambavyo huwa naona ni vya kipumbavu sana.
(Uhuru Stadium)
Nyasi zake ni fupi fupi sana halafu ngumu kama nyuzi za gunia hivyo zinakata, halafu ule mchanga wake (bandia) unachoma balaa