FT: Simba 3-0 Kagera Sugar | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 15.12.2023

FT: Simba 3-0 Kagera Sugar | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 15.12.2023

Kwanini Simba hawaendi chamazi, wanaupendea nini uwanja wa Uhuru?
Azam Complex hawakuonesha uungwana ile siku ambayo tulikuwa tuna mechi na Power Dynamo

Simba alikodi uwanja punde tu baada ya mechi ya Yanga kumalizika na kiutaratibu uwanja ulitakiwa uwe chini ya umiliki wa Simba.

Lakini haikuwa hivyo bado wasimamizi wa uwanja wa Azam waligoma kutoa idhini kwa viongozi kuingia uwanjani.

Hata ilipofika kesho yake asubuhi bado wachezaji wa Azam walionekana kufanya mazoezi kwenye uwanja huo huku Simba waliokodi wakinyimwa uhuru.
 
Azam Complex hawakuonesha uungwana ile siku ambayo tulikuwa tuna mechi na Power Dynamo

Simba alikodi uwanja punde tu baada ya mechi ya Yanga kumalizika na kiutaratibu uwanja ulitakiwa uwe chini ya umiliki wa Simba.

Lakini haikuwa hivyo bado wasimamizi wa uwanja wa Azam waligoma kutoa idhini kwa viongozi kuingia uwanjani.

Hata ilipofika kesho yake asubuhi bado wachezaji wa Azam walionekana kufanya mazoezi kwenye uwanja huo huku Simba waliokodi wakinyimwa uhuru.
Uongo mlishindwa kulipia gharama za mazoezi inshort mlitaka mfanye mazoezi bure
 
Sasa mtu mwenyewe amesoma sekondari na Jiji Mkuu mstaafu Othman Chande unategemea nini,huyu Mzee Kichuguu ni mkongwe mno humu jamvini
 
Viungo wa tatu wote wapo

Hapo katikati sijui leo patakuwaje?
 
In a team must have a CONTOLLER DESTROYER AND CREATER leo kikosi kimekamilika
Chama –creator
Kanoute ‐destroyer
Ngoma –controller

Ningekuwa nabeti leo nikweka magoli mengi niondoke na mzigo wa kutosha.
 
Viungo wa tatu wote wapo

Hapo katikati sijui leo patakuwaje?
Chama ana act kama free player hivyo kati watabaki viungo watatu ndivyo itakavyokuwa maana chama asipokuwa free hawezi kuendena na kasi ya mpira.
 
Uhuru kuna Mvua imepita hapa.
Imeshatutibua
 
Ishu ya uwanja wa Uhuru ipo kwenye camera za Azam
 
Hawa Azam nao vipi wanatuwekea lineups katikati ya mechi?
 
Hawa tunawapiga nyingi sana leo
 
Dakika ya 8.
Faulu eneo la karibu sana.
Chama anapiga, Kipa anaitoa
 
Mashabiki wa Simba tuko Wachache sana hapa Uwanjani
 
Mnaoangalia mechi vipi huko unyama mwingi ?
 
Back
Top Bottom