Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa.Waendelee kununa tu
Labda moto wa mabua......kwa timu ya kina Saidoo full kujianguasha......Refa awabebeYa moto sana!!!
Onana bado sana hapa hatuna mchezaji wa level ya SimbaOnana hata leo kazingua
Suala la onana ni kama ilivyokuwa kibu kwa tinho boi.Onana atakuja kutuziba midomo watu tuliombeza
Yatakuwa kama ya Kibu
Assist mbili za wazi anatoa ila wafungaji ndio wanamfelisha
Nafasi zote zile walizokosa kina Baleke, Kanoute, Malone na wengine, Phiri hakuachi kwenye zile nafasiInahitaji seminar ya ma striker jinsi ya kumaliziq mipira ya mwisho...Phiri yuko vzr ila Baleke ana wenge sana anatakiwa atulie...
Leo yalikua magoli 6 niliyoyahesabu
Kabisa mwamba walishindwa tuu ku mfeed vzr leoNafasi zote zile walizokosa kina Baleke, Kanoute, Malone na wengine, Phiri hakuachi kwenye zile nafasi
Kazingua nini?Onana hata leo kazingua
AhaaHio ya peke yake haituhusu
5iiimbaaaaaa
Kwani si alicheza?Nafasi zote zile walizokosa kina Baleke, Kanoute, Malone na wengine, Phiri hakuachi kwenye zile nafasi
Hakupata nafasi kama walizopata wao...Kwani si alicheza?
Mbona hajafunga?
Yalikuwa zaidi. Kumbuka Putin amekosa mawili ya wazi. Bocco kakosa. Che Malone naye siyo striker Ila kakosa. Chama kakosa mawili.Inahitaji seminar ya ma striker jinsi ya kumaliziq mipira ya mwisho...Phiri yuko vzr ila Baleke ana wenge sana anatakiwa atulie...
Leo yalikua magoli 6 niliyoyahesabu
Yalikuwa zaidi. Kumbuka Putin amekosa mawili ya wazi. Bocco kakosa. Che Malone naye siyo striker Ila kakosa. Chama kakosa mawili.
Ndo maana kufunga 5 siyo kitu cha ajabu endapo nafasi hizo zInatumika vyema.Mpira wa Miguu sio basket mkuu. Maana yangekuwa 10+