FT: Simba 3-0 Kagera Sugar | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 15.12.2023

FT: Simba 3-0 Kagera Sugar | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 15.12.2023

Ushauri kwa Simba, mnapotafuta mchezaji angalieni na utimamu wa akili. Kuna wachezaji Simba wana shida hiyo. Lack of seriousness ni dalili kubwa ya kutokuwa timamu wa akili.
wachezaji wenye utimamu kama kabwili???
 
Nikiangalia mafowards wetu tuna mengi ya kujifunza kwa Mayele katika umaliziaji, nafasi kama za leo aliyopata Onana, Baleke na Phiri unaona kabisa pale Mayele anafunga, kuna mpira alipewa Onana badala ya kuongezea speed golini kwa nguvu anapata tena mda wa kuchenga, maeneo yale mtu kama Mayele chenga ni moja tu au ikipigwa pass hasimamishi mpira anauongezea shuti moja kwa moja kwenye angle.

Sipendi Yanga ila jamaa alikuwa na uwezo binafsi,atazunguka ndani ya dk 90 akipata tu mwanya mmoja anabadili matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani leo kuna kitu cha ajabu nimekiona kwenye mchezo huu. Mbona FOURTH OFFICIAL hatulii? Anakuwa kama ni linesman jinsi anavyohangaika. Naomba mnaofahamu vizuri majukumu ya fourth official mnifahamishe
Baada ya kuona majibu hayapatikani nimeamua kuingia chimbo na kujijibu mwenyewe kama ifuatavyo:

Fourth official[edit]

The fourth official assists the referee in a variety of tasks, and may be called upon to replace another match official. The practice of having a named replacement referee was introduced in 1966 by English referee and administrator Ken Aston, but the International Football Association Board (IFAB) did not officially create the position until 1991, and listed only areas of responsibility. The fourth official is simply instructed to assist the referee at all times, and their duties are largely at the discretion of the referee.

The fourth official typically has a short distance from the touchline between the two teams' technical areas, however their positioning is not defined by the Laws of the Game.

In general, fourth officials are responsible for assisting the referee with:

  • administrative functions before, during and after the match
  • assessment of players' equipment;
  • managing substitutions, including using a numbered board or electronic display where supplied
  • notifying, by means of numbered boards or electronic displays where supplied, the time added on at the end of each half
  • acting as the contact point between the match officiating crew and any outside agents (such as stadium managers, security personnel and ball retrievers)
  • maintaining decorum in the teams' technical areas
  • identifying offences or other infringements where the referee does not have an adequate view
In practice, the fourth official becomes a key member of the officiating team, who can watch the field and players and advise the referee on situations that are going on out of their sight. The fourth official keeps an extra set of records, and helps make sure the referee does not make a serious error such as cautioning the wrong player, or giving two cautions to the same player and forgetting to send off the player.[2]

Where the fourth official is a junior member of the officiating team, they are generally expected to replace an assistant referee where they are unable to continue to perform their duties (either due to injury or replacing the main referee). However, in most high-level competitions, the fourth official is a designated referee (as opposed to assistant) and therefore replaces the referee in cases where they are unable to continue.
 
Nikiangalia mafowards wetu tuna mengi ya kujifunza kwa Mayele katika umaliziaji, nafasi kama za leo aliyopata Onana, Baleke na Phiri unaona kabisa pale Mayele anafunga, kuna mpira alipewa Onana badala ya kuongezea speed golini kwa nguvu anapata tena mda wa kuchenga, maeneo yale mtu kama Mayele chenga ni moja tu au ikipigwa pass hasimamishi mpira anauongezea shuti moja kwa moja kwenye angle.

Sipendi Yanga ila jamaa alikuwa na uwezo binafsi,atazunguka ndani ya dk 90 akipata tu mwanya mmoja anabadili matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kuna vitu tusiwe tunasahau.

Unakumbuka zile mechi mbili zote walizocheza na Zalan kipindi cha kwanza Mayele alikutana na nafasi ngapi za wazi na alikosa?

Mpaka ikazoeleka kuwa Yanga haipati goli kipindi cha kwanza.

Na sio mechi na Zalan tu hata humu tukisema tutafute mechi za live updates tunaweza kukutana na malalamiko kama hayo

By the way mechi ya jana sikumbuki nafasi aliyopata Onana ya kufunga

Nachokumbuka Onana ali assist mara mbili akaja kufelishwa na wamaliziaji
 
Nikiangalia mafowards wetu tuna mengi ya kujifunza kwa Mayele katika umaliziaji, nafasi kama za leo aliyopata Onana, Baleke na Phiri unaona kabisa pale Mayele anafunga, kuna mpira alipewa Onana badala ya kuongezea speed golini kwa nguvu anapata tena mda wa kuchenga, maeneo yale mtu kama Mayele chenga ni moja tu au ikipigwa pass hasimamishi mpira anauongezea shuti moja kwa moja kwenye angle.

Sipendi Yanga ila jamaa alikuwa na uwezo binafsi,atazunguka ndani ya dk 90 akipata tu mwanya mmoja anabadili matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
Makolokolo hawatakuelewa kamwe! watakaza mafuvu kuwa mbona hakuwai kuwa na ushindani wowote kwa kukabana ufungaji bora misimu miwili yote Yanga akiwa Bingwa NBC PL TZ?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nikiangalia mafowards wetu tuna mengi ya kujifunza kwa Mayele katika umaliziaji, nafasi kama za leo aliyopata Onana, Baleke na Phiri unaona kabisa pale Mayele anafunga, kuna mpira alipewa Onana badala ya kuongezea speed golini kwa nguvu anapata tena mda wa kuchenga, maeneo yale mtu kama Mayele chenga ni moja tu au ikipigwa pass hasimamishi mpira anauongezea shuti moja kwa moja kwenye angle.

Sipendi Yanga ila jamaa alikuwa na uwezo binafsi,atazunguka ndani ya dk 90 akipata tu mwanya mmoja anabadili matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mayele yeye na kipa lakini kakosa

Mayele huyu huyu ambaye kakosa nafasi zaidi ya tano bado mnaona sio galasa kwakuwa kawafungia goli moja?

Daaah tuna safari ndefu sana

Mayele kakosa magoli manne mbili zimegonga post mbili kipa kadaka ulitaka Kaze afanyeje, huu ni mpira saa zingine msiwe mna laumu hata opponents wanataka ushindi pia

Zalan ni mbovu ila Yanga ndio mbovu zaidi

Aziz Ki ye na kipa kakosa

Mayele kakosa magoli zaidi ya manne

Yanga wangekutana na hii timu ambayo inacheza na Geita nadhani tungekuwa tunaongea habari nyingine

Mayele yeye na kipa tena lakini kakosa

CAF wakiangalia hii mechi watakuwa wanajiuliza ile hattrick aliipataje?

Mayele kakosa goli tamu sanaaa

to me mayele ni mchezaji wa kawaida sana. si wa hivyo anavyozungumzwa. anapoteza sana nafasi. kwenye chances 7 anafunga goli moja. juzi tu kakosa chances 3 clear kafunga moja.

Mwanzo alikuwa ni Makambo tukasema hamna kitu, saizi ni Mayele tena mazingira yale yale naye kakosa

Tuseme bahati mbaya au tutumie maneno yale yale?

Dakika 17' kipindi cha Pili

Kagera 0-1 Yanga

Mayele kakosa goli

Hakuna mechi inachezwa bila mganga kucheza mechi hapa katika ardhi ya kitanganyika.

Hata wachezaji wana amini katika kuroga ushinde mechi kuna mechi moja Mayele kakosa sana Magoli,akaenda kuishika nyavu ya goli akiamini kuna uchawi.

Umekiri kuwa Mayele ni mzuri, huyo huyo Mayele unayesema ni mzuri kakosa magoli ya wazi zaidi ya manne kwenye mechi dhidi ya Ruvu shooting. Je uzuri wa Mayele upo wapi?

Mayele kakosa goli la wazi kabisa yeye na kipa tu

Mpira hujui, mchezaji ana hukumiwa kwa nafasi alizokosa. Musonda kwenye ligi mechi alizocheza dakika tisini simlaumu. Mechi yake kabla ya leo kampa pasi murua kabisa Mayele. Mayele yeye na kipa kakosa. Leo pia huyo huyo Musonda kapiga shuti kipa kaupangua mpira umemfikia Mayele lakini yeye na kipa kakosa. Acha mihemko

Jamani naambiwa hapa Musonda amepata nafasi tatu za wazi lakini amekosa magoli

Mleta mada alifanya siri

Unamsitiri?

Niambie kati ya mechi 10 zilizopita za Simba, mechi ambayo Kibu alikosa goli hata moja la wazi. Jana Mayele kakosa magoli mangapi?

Goli la pili la juzi dhidi ya Ihefu, angekuwa mtu mwingine yoyote angejaribu kufunga mwenyewe na Kibu angeweza kufunga pale ila kama nilivyokwambia anaelewa jukumu lake la msingi na alilitekeleza vizuri, leo hii tunamshangilia Baleke.

Pia, Kibu hachezi kama no 10 kwa sasa.

Mayele kakosa tena goli la wazi

Mayeleeeeee ohhhhhhhhhh

Kwamba angekua mayele ndio angefunga hizo nafas tulizokosa, hv mbona kila mtu ikitokea nafas anamtaja mayele mkumbuke mayele amefunga goal 17 tu kati ya 67 tulofunga msimu huu... Mayele alikua kipenz chetu ila magoli kakosa sana tu
 
Back
Top Bottom