lamekiAgustino
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 481
- 1,318
🤣🤣🤣🤣🤣Simba fanyeni mambo mengine bhanaaa mpira achaneni nao chezeni hata mdako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa moja na nusu.Game hii leo saa ngap?
Simba anakufa Moja bila,..
Hata Manara alikuwa Lunyasi ila kwa sasa yupo Uto unaweza kuiga ya Manara ili uwe unalia na kuzimia chooni pale Uto wanapowapiga wana Lunyasi wenzio 😂Wakuu mi ni shabiki wa Lunyasi damudamu kwa kipind kirefu sana ila kwa sasa Yanga imenivutia sana, mnanishaurije ni kipindi cha mpito tu nivumilie au nihame tu kuifurahisha nafsi
Muda wa nini wakati mechi ilishachezwa?Muda wa mechi ni sangapi
UBAYA UBWELA.Hawa Sold out FC hawajui hata mechi yao inachezwa saa ngapi.
Wakuu naomba mnijuze hii nechi inaanza saa ngapi?Leo Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa, wenye nchi Simba SC watafanya ule mtoko wa jezi mpya na utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi kwa msimu wa 2024/2025
Utambulisho huo utamalizika kwa mechi ya kirafiki dhidi ya APR kutoka Rwanda.
Kaa nami katika uzi huu upate update ya matukio yote yakakayojiri..
ImehairishwaWakuu naomba mnijuze hii nechi inaanza saa ngapi?
Utopolo hawana akili. Sasa hivi wamekaa kimya lakini APR akishanyolewa utawasikia wanakuja hapa kuongea ushuzi.Game ya Leo itabadili mtizamo woote wa dharau walizinazo timu nyingine kwa Simba. Hawatoamini macho yao. Baada ya game ya Leo wapinzani wa Simba watakumbwa na hofu kuu.
Mpaka Sasa sijaona aliyesema APR ni timu mbovu. Ila soon baada ya game utawaona wanavokuja kulazimisha ubovu wa APR.
Ubaya Ubwela...Leo Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa, wenye nchi Simba SC watafanya ule mtoko wa jezi mpya na utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi kwa msimu wa 2024/2025
Utambulisho huo utamalizika kwa mechi ya kirafiki dhidi ya APR kutoka Rwanda.
Kaa nami katika uzi huu upate update ya matukio yote yakakayojiri..
Imehairishwa ndiyo lugha gani? Rudi shule ukasome kwanza ndipo uje hapa kuandika ujinga.Imehairishwa