ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Wanawake bana ndio maana hamshindwi kucheat. Pale unapoona mumewako hana fedha! Komaa nae huyo huyo mumeo aka koloWakuu mi ni shabiki wa Lunyasi damudamu kwa kipind kirefu sana ila kwa sasa Yanga imenivutia sana, mnanishaurije ni kipindi cha mpito tu nivumilie au nihame tu kuifurahisha nafsi