Ni njia rahisi ya kufikisha hisia hasa pale unapoona uongozi unafumba masikio kinachoongelewa katika social mediaHayo mambo ya kuzomea zomea sidhani kama yana mantiki yoyote. Kama hajafiti uongozi upo utamuondoa
Atapigwa nyingiUnaikumbuka kauli ya Gamondi kuwa Simba ikija kistaarabu itafungwa mchache tu, ila ikijifanya mjuaji kutaka kulipa kisasi itapokea kipigo cha mbwa koko. kwa maneno yako haya utakuwa unawachongea kutengenezewa kipigo
Kupigwa ni matokeo, hatutajali. Timu bado mpyaIkitokea mmepigwa leo ndo mtajua kweli ubaya ubwela
Mmeanza sababuKupigwa ni matokeo, hatutajali. Timu bado mpya
Hatuweza kuwaiga nyinyi watoto wadogoIgeniβ¦. Mfe
Hata mimi nilikuwa na swali kama lako. Ngoja nimuulize ephen wanguuAhmed kawakariri woteeeee
Nawaona wachawi wawili mna randa randa humuπAtapigwa nyingi
ππNawaona wachawi wawili mna randa randa humuπ
Ephen Yanga. Akikupa jibu nitagHata mimi nilikuwa na swali kama lako. Ngoja nimuulize ephen wanguu
Wewe na kiephen chako mnaloga mchana aseeeπππ
Acha kusumbua wewe, huna time wakati unashinda kwenye mitandao.kila la heri, ikianza unitag nione kama nina time
Yanga day mumeiga wapiπ€£π€£π€£Hatuweza kuwaiga nyinyi watoto wadogo