FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

Leo tunaenda kuona magagulo ambayo Magori katusajiria huu msimu wanasimba tunaomba tuwe na moyo wa uvumilivu tu full stop 🛑
Aisee uvumilivu wa sanda fc tayari umeshagraduate, nadhani uvumilivu huu unaingia mwaka wa nne sasa!! Sijui uvumilivu huu utaenda miaka mingapi!!

Nimeona huku Buza Mpalanger makolo wengi wamevaa medali zimeandikwa uvumilivu una mwisho !!

Yanga ina masifa sana vyuma vyote vya simba vya leo, tarehe 8 vitaitwa magalasa, watalalama ooh tumepigwa , Mangungo atupishe, yaani itakuwa fujo tupu pale mbumbumbu street (msimbazi)!!
 
Leo disco toto Kesho show za wakubwa Cc ephen_
20240727_215048.jpg
 
Hivi ni kwanini huwa hatutafuti maneno yenye baraka!!! Sijapenda hili neno la UBAYA UBWELA .

Pia tusipende kuwatumia wazaramo kutuletea majina. Ndio hawahawa wanaowaita watoto wao Shida, Masumbuko, Njaa, Ubaya, Matatizo, Kicheche, Nyege, Anguko, Mazoea, Majanga, Haolewi
 

Leo Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa, wenye nchi Simba SC watafanya ule mtoko wa jezi mpya na utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi kwa msimu wa 2024/2025

Utambulisho huo utamalizika kwa mechi ya kirafiki dhidi ya APR kutoka Rwanda.

Kaa nami katika uzi huu upate update ya matukio yote yakakayojiri.

Ubwabwa Ubwela 🥺
 
Nimefurahi kumuona rafiki yangu dj sinyorita hapa uwanjani😎😎
 
Back
Top Bottom