Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
KumbukiziView attachment 3060948
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeh!😀🤦🏾♂️Wewe umesema vizuri; unaomba tuwafunge goli za heshima, kama moja u mbili tu halafu tuavhie hapo. Hao wenzako wanaosema hovyo ndio watakaoiponza timu, kwani tukifungulia mbwa, utakuwa ni mwendo wa nne hadi sita.
Ndugu zenu wa Kaizer Chiefs walivyokumbana na Yanga walisema hivi
View attachment 3060855
Mkuu wewe huwa nakufananisha sana na Nyani Ngabu , especially kwenye “sense of humour”Mzee mtakimbia
Na sanda zenu
Jikite kwenye Yanga day mkuu. Unajali ya jirani kuliko ya kwako😀Wote wanaoshangilis ushindi wa Leo hawataonekana siku hiyo. Wengine watadai eti wako msibani wamefiwa na ndugu hawawezi kutazama mpira, wengine watadai wako wodini wanauguliwa na wake au Waume zao hivyo hawawezi kuangalia mpira. Kila mmoja atakuja na excuse ya kumfanya apotee.
Yanga imecheza mechi tatu vs Ts Galaxy, Augsburg na Kaizer chief sasa hizo timu zote ziliponea kushuka daraja?Ila nyie kucheza na wazuru walioponea kushuka daraja na kuwafunga ndio kipimo kuwa Yanga ni bora na hamuhitaji muda utoe majibu?
Udugu umala !!Binafis nimeridhika na timu sema kibu na fred mpira umewakataa.
Yanga hata mkitufunga sawa tu tupo kwenye ujenzi sisi.ila zisiwe goli zaidi ya moja au mbili tu
Hili kombe la mapi-mbuzi!Miezi 7 tu iliyopita uto walipokutana na APR
View attachment 3060830
Umenikumbusha kocha wangu mmoja mcongoman...Kumbukizi
Hatuzungumzii kombe tunazungumzia matokeoHili kombe la mapi-mbuzi!
Yanga ilipotezea tu.
Simba hamnaaa Timu hapoo, mtaamini Tarehe 8. Warwanda vyumba vya kubadilishia nguoo (HT) wamekwenda ambiwa muachie goals.
Mtu mmoja ukisusa ni takataka tu yanga ina watu milioni 30 nchi hii.Jana nilikua busy sana na Simba Day yangu...
Ya leo hayanihusu....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Oyeee!Ubayaaaa ubwelaaaa
Hatusikilizi kelele za wanywa supu...
Simba moto kwanza unakolea...
DEBORA hoyeeee
raha Ka mkubwaMikia muwahi mkawajue wachezaji wenu,maana hamuwajui kabisa,fanyeni fujo zenu zooote, Kaka yenu nitakuwepo kuangalia mechi live kwa Ben,nijue angalau unaweza kunichallenge au Ngungo out inaweza kuanza mechi ya tano tu ya season.
Kila la heri mbumbumbu fc kwenye tamasha lenu,na muenjoy sana maana ndiyo inawezekana ikawa mwanzo na mwisho wa furaha
Uchezaji wa Timu husika ndio chanzo Cha makosa kama hayoo. Utaelewa tu wakianza ligiii! We mpaka 90 zinaisha APR sijaona hata mchezaji mwenye uwezo Binafsi.Wewe ukiangalia yale magoli, kuna
goal lolote unaweza sema limeachwa makusudi?
Yaani lile fataki la Deborah?
au
Ile free kick ya Balua?
Hiyo no post ya janaJikite kwenye Yanga day mkuu. Unajali ya jirani kuliko ya kwako😀
Typical bongo.😀