FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

Wewe umesema vizuri; unaomba tuwafunge goli za heshima, kama moja u mbili tu halafu tuavhie hapo. Hao wenzako wanaosema hovyo ndio watakaoiponza timu, kwani tukifungulia mbwa, utakuwa ni mwendo wa nne hadi sita.

Ndugu zenu wa Kaizer Chiefs walivyokumbana na Yanga walisema hivi

View attachment 3060855
Wacha weeh!😀🤦🏾‍♂️
 
Wote wanaoshangilis ushindi wa Leo hawataonekana siku hiyo. Wengine watadai eti wako msibani wamefiwa na ndugu hawawezi kutazama mpira, wengine watadai wako wodini wanauguliwa na wake au Waume zao hivyo hawawezi kuangalia mpira. Kila mmoja atakuja na excuse ya kumfanya apotee.
Jikite kwenye Yanga day mkuu. Unajali ya jirani kuliko ya kwako😀

Typical bongo.😀
 
Ila nyie kucheza na wazuru walioponea kushuka daraja na kuwafunga ndio kipimo kuwa Yanga ni bora na hamuhitaji muda utoe majibu?
Yanga imecheza mechi tatu vs Ts Galaxy, Augsburg na Kaizer chief sasa hizo timu zote ziliponea kushuka daraja?
 
Kila shabiki la Mnyama anafuraha kubwa mno, nataman iendelee hivhivi ila ndo hvo tena.
 
Simba hamnaaa Timu hapoo, mtaamini Tarehe 8. Warwanda vyumba vya kubadilishia nguoo (HT) wamekwenda ambiwa muachie goals.

Wewe ukiangalia yale magoli, kuna
goal lolote unaweza sema limeachwa makusudi?

Yaani lile fataki la Deborah?

au

Ile free kick ya Balua?
 
Ubayaaaa ubwelaaaa
Hatusikilizi kelele za wanywa supu...
Simba moto kwanza unakolea...
DEBORA hoyeeee
 
Jana nilikua busy sana na Simba Day yangu...
Ya leo hayanihusu....
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Jana nilikua busy sana na Simba Day yangu...
Ya leo hayanihusu....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtu mmoja ukisusa ni takataka tu yanga ina watu milioni 30 nchi hii.
 
Ni mwanzo WA fu
Mikia muwahi mkawajue wachezaji wenu,maana hamuwajui kabisa,fanyeni fujo zenu zooote, Kaka yenu nitakuwepo kuangalia mechi live kwa Ben,nijue angalau unaweza kunichallenge au Ngungo out inaweza kuanza mechi ya tano tu ya season.

Kila la heri mbumbumbu fc kwenye tamasha lenu,na muenjoy sana maana ndiyo inawezekana ikawa mwanzo na mwisho wa furaha
raha Ka mkubwa
 
Wewe ukiangalia yale magoli, kuna
goal lolote unaweza sema limeachwa makusudi?

Yaani lile fataki la Deborah?

au

Ile free kick ya Balua?
Uchezaji wa Timu husika ndio chanzo Cha makosa kama hayoo. Utaelewa tu wakianza ligiii! We mpaka 90 zinaisha APR sijaona hata mchezaji mwenye uwezo Binafsi.
 
Back
Top Bottom