Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Semali letu Simba Sports Club...
Kazi yake ni nzuri iliyotukuka...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Semali letu Simba Sports Club...
Kabisa mtaniSemali letu Simba Sports Club...
Kazi yake ni nzuri iliyotukuka...
Jeshi la MTU mmoja💯Semali letu Simba Sports Club...
Kazi yake ni nzuri iliyotukuka...
HayaaUko serious Kweli Unafatilia Mpira Hivi ulikuwa uwanjani au ulikuwa wapi..
HAya magoli huoni kama ni Mawili na Yanga walifungwa magoli matatuna APR
Au umesahau hii
View attachment 3060785
Huyo tarehe 8 atakimbia humuHayaa
Makiwendo , nimekupenda bure wakupe bia kwa bili yangu aseee.Semali letu Simba Sports Club...
Kazi yake ni nzuri iliyotukuka...
Limeisha....tuma kwa Mpesa chap..Makiwendo , nimekupenda bure wakupe bia kwa bili yangu aseee.
Basi ndio utariiiiinga hadi basi, haya hongereni b…Mtaelewa tu. Lol
Ova
Mimi ni yanga mkuuHamuwezi kitu yanga itawalamba mpaka miguu walahi mmewahi ona paka akila samaki hadi mifupq
Mzee mtakimbiaTuache
Hiyo ni jambo la kawaida kwenye siku ya kilele cha Simba day, ni Simba day ulioona timu ikicheza ovyo na ku disappoint mashabiki?Simba bado inatengeneza timu.
Leo tulikuwa tunaangalia tu progress waliyoifikia
Ulichokiona leo kinakupa tu taswira kwa uchache ya jinsi timu itavyoenda kuwa huko mbeleni.
Angalia kipindi cha kwanza kilivyochezwa kisha tazama kipindi cha pili, utagundua ni Simba mbili tofauti.
Kocha huyu ana plan A hadi Z na uzuri kilichonifurahisha wachezaji wameonesha kiu ya upambanaji. Hiyo ina maana kubwa sana.
Kwa hiyo unataka kusema nini?Hiyo ni jambo la kawaida kwenye siku ya kilele cha Simba day, ni Simba day ulioona timu ikicheza ovyo na ku disappoint mashabiki?
Mkuu wewe huwa unachambua Kwa fact na kuweza kueleweka,kama hutojari naomba uwazungumzie wachezaji wakigeni wapya kutokana na game ya leoKwa hiyo unataka kusema nini?