DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Uko serious Kweli Unafatilia Mpira Hivi ulikuwa uwanjani au ulikuwa wapi..Sawa nammesajili wapya na bado wanapangana kama nyumbu , halafu wanafunga goli moja
HAya magoli huoni kama ni Mawili na Yanga walifungwa magoli matatuna APR
Au umesahau hii