MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Huwa wanang'oa hadi viti wakifungwa..... Wasing'oe tu na nyasi za uwanja, hawashindwi.
Aisee uvumilivu wa sanda fc tayari umeshagraduate, nadhani uvumilivu huu unaingia mwaka wa nne sasa!! Sijui uvumilivu huu utaenda miaka mingapi!!Leo tunaenda kuona magagulo ambayo Magori katusajiria huu msimu wanasimba tunaomba tuwe na moyo wa uvumilivu tu full stop π
Naunga mkono hojaHuwa wanang'oa hadi viti wakifungwa..... Wasing'oe tu na nyasi za uwanja, hawashindwi.
Mbona kama anasema 8/8 zitakuwa 5 nyingine?Leo disco toto Kesho show za wakubwa Cc ephen_View attachment 3060557
Hata mimi nina swali hilo hilo, anaejua atujuzeWakuu naomba mnijuze hii nechi inaanza saa ngapi?
Umeshajaa?Hongereni kwa kujaza uwanja watani
Atulize kitoa taka mwili.Unaongea wewe kama nani?π€
Ubaya ubwela
Ubwabwa Ubwela π₯ΊLeo Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa, wenye nchi Simba SC watafanya ule mtoko wa jezi mpya na utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi kwa msimu wa 2024/2025
Utambulisho huo utamalizika kwa mechi ya kirafiki dhidi ya APR kutoka Rwanda.
Kaa nami katika uzi huu upate update ya matukio yote yakakayojiri.
View attachment 3060536View attachment 3060537View attachment 3060538
Mashabiki mbalimbali waliohudhuria
Na kauli mbiu yenu ya ThupuuuLeo disco toto Kesho show za wakubwa Cc ephen_View attachment 3060557
ππππNa kauli mbiu yenu ya Thupuuu
Mimi sio mtu wa kuua siku kwa sababu ya mpira. Kama ni mechi nitaangalia hata highlights. Muda ukiwepo nitaiangalia yoteUbwela hujui muda wa mechi unabwabwaja tu.