Cha kuogopesha ni kipi b…? Team ambayo hata Kocha hawajui wachezaji wake vizuri? Wachezaji wenyewe bado hawajuani hata kwa majina.B... mbona kama mnaogopa hivi? Lols
Ova
Tamasha ni Leo kesho ni kanisaniLeo disco toto Kesho show za wakubwa Cc ephen_View attachment 3060557
Kweli mkuu!Wajinga nyie. Asubuhi mpaka jioni ni simba yanga ndio maana taifa haliendelei mbele
Uzuri wakati huwa unafika. Na huu pia utafika inshallah.Cha kuogopesha ni kipi b…? Team ambayo hata Kocha hawajui wachezaji wake vizuri? Wachezaji wenyewe bado hawajuani hata kwa majina.
Kichapo cha safari hii utanikimbia nilie kukumiss siku nzima.
Kupitia Maisha Magic Bongo tupo mbasharaDstv wanaonesha?
Unataka ukaroge? 😆😆🤣Wakuu vipi huko mechi imeanza au bado?
1.30Mechi saa ngp
Mkuu unafaidi sana 😀😀😀Ubaya UbwelaView attachment 3060584
Hata hawasemi mechi ni saa ngapiMc kapoozesha sherehe
Mkuu mechi saa ngapi? Maana nmepekua kila sehemu sioni muda wa mpiraAzamTv kajitahidi sana kwenye camera wapo vizuri🔥🔥🔥hakika zile camera ziko safi
Mkuu shemeji yetu huyo?Ubaya UbwelaView attachment 3060584
Saa 1.30Mkuu mechi saa ngapi? Maana nmepekua kila sehemu sioni muda wa mpira