Natena wiza
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 428
- 676
Ngoma ndo alikuwa mzigo kwenye midfield, Mzamiru kacheza vizuri sana.Hii timu bado sana kocha apewe muda ila ngoma na mzamiru hmm naona vilio tena msimbazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma ndo alikuwa mzigo kwenye midfield, Mzamiru kacheza vizuri sana.Hii timu bado sana kocha apewe muda ila ngoma na mzamiru hmm naona vilio tena msimbazi
Basi wewe huna akili timamu kama uko slow kufata supu ya bure.
Nilijua dada aisee...kumradhi mkuuWewe ndio umesema ila mimi ni kidume kabisa na mbupu kubwa kabisa , ubaya ubwela mkuu.
Huyo iddy nanga ni kibaka tu ubaya ubwela , pokea simu.
Una nini kubwa?☺️Wewe ndio umesema ila mimi ni kidume kabisa na mbupu kubwa kabisa , ubaya ubwela mkuu.
Nipigie baade naangalia pira la maana kutoka kwa kikosi kipyaaaa 🤣🤣🤣Huyo iddy nanga ni kibaka tu ubaya ubwela , pokea simu.
[emoji28][emoji28][emoji28] wewe ni YangaHii timu ndo maana kule misri ilikuwa inafungwa mpaka na timu za wanafunzi wa vyuo, inatakiwa simba ipewe muda maalumu isajili upya maana karibu nusu ya wachezaji ni wazito.
Zimbwe ajiudhuru kwa maslahi mapana ya wapenzi wa Simba
Tukishazipata tupeleke wapiTafuteni pesa mazee mpira hauleti ugali mezani🤗
Tajiri amesajiri Wachezaji wa KikuuTajiri haamini anachokiona
Mtoto mdogo , lala panya buku wewe.Una nini kubwa?☺️
Naam na sitoshangaa hata Leo akiwekwa ili kuokoaKibu anahitajika...
😂Ubaya ubwela rafiki yanguMtoto mdogo , lala panya buku wewe.
Ndio mkuuFoleni ya supu ya bure?