FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

Hii timu ndo maana kule misri ilikuwa inafungwa mpaka na timu za wanafunzi wa vyuo, inatakiwa simba ipewe muda maalumu isajili upya maana karibu nusu ya wachezaji ni wazito.
Zimbwe ajiudhuru kwa maslahi mapana ya wapenzi wa Simba
[emoji28][emoji28][emoji28] wewe ni Yanga
 
Hii simba bado sana,haina striking forces ya kutafuta magoli,bado bado bado sanaaa
 
Mpira huu ndio mlikuwa mnajificha🤣🤣🤣🤣🤣 Cc ephen_
20240803_205248.jpg
 
Back
Top Bottom