Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhaha mkuu unazingua ujue , jiangalie kwa umakini sana.Tukishazipata tupeleke wapi
Unitoe nyumbani nikanywe supu ya bure na chapati 2 jangwani daah! 😂Basi wewe huna akili timamu kama uko slow kufata supu ya bure.
Supu ya bure haipatikani kirahisi, lazima mtu aichangamkie
Ngoja tuone na mavambo ila tusiwajudge sana wachezaji wetu hawa APR walimkung'uta supu ya vibudu fc bao 3 - 1 kombe la mapinduziNgoma ndo alikuwa mzigo kwenye midfield, Mzamiru kacheza vizuri sana.
Mbwa achana na mimi😂Ubaya ubwela rafiki yangu
UnafkiGame on. Kipindi cha pili
Kabla hujaandika hivi, una Visa au ndo hata nchi jirani hapo hujawahi kufika.?Hii ndo team ambayo ilikuwa imejificha kwenye vichuguu vya misri [emoji3][emoji3][emoji3]
Watakuja kwa kasi ya ajabuWamepata🤣