Yes kiingilio ni BUKU 5 sasa utashindwa kujaza uwanja mapema tu??? Yanga wao kiingilio kidogo ni 10000 yaan kwa kifupi tu ni kwamba kwenye mtu mmoja wa Yanga basi kwenye Simba wataingia wawili.Naangalia Azam , aisee uwanja utajaa hata kabla ya saa nane ,hii nyomi si mchezo
So what!? Yanga mnapenda kujilinganisha sana na simba. Simba imeanza matamasha haya miaka 14 iliyopita.Yes kiingilio ni BUKU 5 sasa utashindwa kujaza uwanja mapema tu??? Yanga wao kiingilio kidogo ni 10000 yaan kwa kifupi tu ni kwamba kwenye mtu mmoja wa Yanga basi kwenye Simba wataingia wawili.
Ndio maana mkaona mfungulie geti 🤣🤣Yes kiingilio ni BUKU 5 sasa utashindwa kujaza uwanja mapema tu??? Yanga wao kiingilio kidogo ni 10000 yaan kwa kifupi tu ni kwamba kwenye mtu mmoja wa Yanga basi kwenye Simba wataingia wawili.
Ilifika muda gate lilikua wazi, watu waliingia buree tyuuh. Lol.Yes kiingilio ni BUKU 5 sasa utashindwa kujaza uwanja mapema tu??? Yanga wao kiingilio kidogo ni 10000 yaan kwa kifupi tu ni kwamba kwenye mtu mmoja wa Yanga basi kwenye Simba wataingia wawili.
Muambie huyo watu waliingia buree kabisaa.Ndio maana mkaona mfungulie geti [emoji1787][emoji1787]
Ukisusa wenzio walaTamasha limepoa sana watu wana kisasi cha jezi aiseeee nilipanga kuja siji tena uwanjani!!
Wewe uliingia bure?? Unaweza kuingia bure pale TAIFA??Muambie huyo watu waliingia buree kabisaa.
Ulitaka wasimiminike tiket zinauzwa elfu tano tanoView attachment 2317760
Mashabiki makini wa Simba Sc Mnyama tutakuwa hapa Live Jamiiforums.
Mashabiki wa Simba dunia nzima wameendelea na vibe la Simba Day kona zote duniani,huku mashabiki wa Dar Es Salaam wakiendelea kumininika Uwanja wa Mkapa.
Simba tutatambulisha kikosi hatari na benchi la ufundi katika msimu wa 2022/23. Wasanii watatoa burudani wakiongozwa na Zuchu, Whozu, Tunda Man na Meja Kunta.
Mwisho kabisa kandanda saaafi dhidi ya St George ya Ethiopia mishale ya saa 12 Jioni.
Updates
Muhasibu Mkuu wa Simba Suleiman ametoa taarifa tiketi elf 52 zimeshauzwa na kubakia tiketi elfu 8 tu. Watu wanazidi kumiminika.
Usiondoke JF
Gate lilikua wazi, na watu waliingia. Unataka kubisha nn??Wewe uliingia bure?? Unaweza kuingia bure pale TAIFA??
Mgeni rasmi nani? Ndugai au Zungu?Gate lilikua wazi, na watu waliingia. Unataka kubisha nn??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Rais wa CAF, Patrick Motsepe.Mgeni rasmi nani? Ndugai au Zungu?
Subiri umuone Lipumba pale na masharubu yake kama panya.Rais wa CAF, Patrick Motsepe.
Game la wanaume saa ngapi?View attachment 2317760
Mashabiki makini wa Simba Sc Mnyama tutakuwa hapa Live Jamiiforums.
Mashabiki wa Simba dunia nzima wameendelea na vibe la Simba Day kona zote duniani,huku mashabiki wa Dar Es Salaam wakiendelea kumininika Uwanja wa Mkapa.
Simba tutatambulisha kikosi hatari na benchi la ufundi katika msimu wa 2022/23. Wasanii watatoa burudani wakiongozwa na Zuchu, Whozu, Tunda Man na Meja Kunta.
Mwisho kabisa kandanda saaafi dhidi ya St George ya Ethiopia mishale ya saa 12 Jioni.
Updates
Muhasibu Mkuu wa Simba Suleiman ametoa taarifa tiketi elf 52 zimeshauzwa na kubakia tiketi elfu 8 tu. Watu wanazidi kumiminika.
Usiondoke JF
#GuyuMoyaSiba guvu moya