FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Ni Siku Kubwa, Siku ya wenye Nchi, wengi Wanaifahamu kama "Simba Day". Tutakuwa "LIVE AND DIRECT" Hapa Kijiwe cha Soka "JAMII SPORTS" Kukuletea yote vanaondelea kutokea pale Benjamini Mkapa katika hii siku Kubwa, kwa wana simba.

Simba Sc Imetangaza Kufungua Mageti ya Uwanja. Kuanzia Saa 2 kamili asubuhi na Kutarajia Kuujaza uwanja ifikapo saa 6 Kamili Mchana. Baada ya Ticket Zote kuwa "SOLD OUT" Baadae Saa 1 kamili. Jioni Mtanange Wa Mpira Wa Miguu uta fuata ni SIMBA SC Vs POWER DYNAMOS

Live Updates zote utazipata hapa.

SaLm Kikeke- MC namba Moja Shughuli Ya Simba


MC PETIT-Atakuwa Mc Namba 2 Shughuli ya Simba


MC B Classic- Atakuwa Mc Namba Tatu Shughuli ya Simba, Sauti Nzitooo


Mgeni Rasmi - Ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan


ALI KIBA- Main Artist Kwenye Shughuli Ya Simba​

UPDATES:

Ifikapo Saa 2 Asubuhi Mageti ya uwanja wa Kwa Mpaka yatafunguliwa

Kutakuwa na Burudani Mbalimbali, Mchezo wa Kirafiki kati Ya Simba Queens na Msala Princess, CRDB BANK VS NMB BANK, Utambulisho wa wachezaji wa Msimu wa 2023/2024 na Baadae ni Mchezo Kati ya Simba Vs Power Dynamos

Mchezo unao endelea sasa ni Simba Queens Vs Masala Princess

FT: Simba Queens 4 - 0 Masala Princess

FT : CRDB 1- NMB 0

Utambulisho wa Wachezaji na Bechi la ufundi, Burudani zote na Mh Rais kukagua Vikosi zimesha Kamilika




Kinacho Fuata ni Mtanange Kati Ya Simba na Power Dynamos

Kikosi cha Simba
Mchezo umeanza
5' Gooooooooooooooooo
Onana anaipatia Simba goli la kwanza kwa shuti kali

75’ Gooooooooooooooooo

Ngoma Anafunga goli kwa kichwa kizuri hapa
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…