FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

SIMBA AMKENI…

Nawakumbusha tu mafanikio ya Mpira ni mataji na sio pesa wala kujaza uwanja.

Kiuhalisia mmekubali kuendeshwa na hili sakata la ujazaji wa Uwanja na badala ya kuhoji ni msimu wa ngapi huu mnajaza huo Uwanja lakini hamna mataji?!

Naona safari hii ndio Uongozi umezidi kuwahadaa kwa kuwaletea Mgeni Rasmi ambae ni namba Moja hapa Nchini, hivyo kuwasahaulisha kuhoji maswali ni je lini mtarudi kwenye zama za kunyanyua makwapa?!

Wenzenu wana Siku ya Mwananchi ambayo inaambatana na kuwaonesha washabiki wao kile walichovuna msimu uliopita, yaani Mataji, sasa Je Simba mnawaonesha nini Washabiki wenu?!

Washabiki wa Simba hizi sherehe za Siku moja zisibadili mfumo wa ufahamu vichwani mwenu na kuwafanya mkose akili ya kuhoji mambo ya maana na haswa hili suala la timu kushindwa kufanya vizuri kwa zaidi ya msimu wa 3 sasa.

Well Simba Day imefana.
Haya kuanzia Kesho tuwahoji Viongozi kwanini Timu inashindwa kubeba Mataji na kila kitu inapata?!

Hojini, hojini, hojini…
Waulizeni Viongozi wenu ni lini mtarudi kwenye zama zenu za kutesa na Simba Day huku mkitambulisha mataji?!

Wakishindwa kutoa majibu ya kueleweka basi wapeni muda na wakishindwa kurudisha hadhi ya Simba ile ya Mataji basi wawajibike.

Amkeni wana Simba, Viongozi wenu wanawatumia kama Kopo la Chooni, yaani wanawatumia wakiwa na shida zao tu miongoni mwao ni kuficha madhaifu yao kwa hili Tamasha la Simba Day, na zikiisha wanawaacha kulekule Chooni.
Ikiuma chomoa
 
SIMBA AMKENI…

Nawakumbusha tu mafanikio ya Mpira ni mataji na sio pesa wala kujaza uwanja.

Kiuhalisia mmekubali kuendeshwa na hili sakata la ujazaji wa Uwanja na badala ya kuhoji ni msimu wa ngapi huu mnajaza huo Uwanja lakini hamna mataji?!

Naona safari hii ndio Uongozi umezidi kuwahadaa kwa kuwaletea Mgeni Rasmi ambae ni namba Moja hapa Nchini, hivyo kuwasahaulisha kuhoji maswali ni je lini mtarudi kwenye zama za kunyanyua makwapa?!

Wenzenu wana Siku ya Mwananchi ambayo inaambatana na kuwaonesha washabiki wao kile walichovuna msimu uliopita, yaani Mataji, sasa Je Simba mnawaonesha nini Washabiki wenu?!

Washabiki wa Simba hizi sherehe za Siku moja zisibadili mfumo wa ufahamu vichwani mwenu na kuwafanya mkose akili ya kuhoji mambo ya maana na haswa hili suala la timu kushindwa kufanya vizuri kwa zaidi ya msimu wa 3 sasa.

Well Simba Day imefana.
Haya kuanzia Kesho tuwahoji Viongozi kwanini Timu inashindwa kubeba Mataji na kila kitu inapata?!

Hojini, hojini, hojini…
Waulizeni Viongozi wenu ni lini mtarudi kwenye zama zenu za kutesa na Simba Day huku mkitambulisha mataji?!

Wakishindwa kutoa majibu ya kueleweka basi wapeni muda na wakishindwa kurudisha hadhi ya Simba ile ya Mataji basi wawajibike.

Amkeni wana Simba, Viongozi wenu wanawatumia kama Kopo la Chooni, yaani wanawatumia wakiwa na shida zao tu miongoni mwao ni kuficha madhaifu yao kwa hili Tamasha la Simba Day, na zikiisha wanawaacha kulekule Chooni.
Hongera nyie wenye malengo makubwa ya kufika makundi CAF champions league!! Yaani mkifika makundi mtafanya sherehe ya kufikia malengo mliyoyakosa miaka nenda rudi!! Ni halali yenu kuanzia mchangani!! Msione wivu!! Simba haianzii mchangani na malengo yake ni kufika nusu fainali champions league!!
 
FB_IMG_1691374488034.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
5b20294f-4161-4e57-9412-57e0b28d064f.jpg

UNYAMA UNYAMANI

Ukiangalia hizi Picha unaweza kuona Uhalisia uliokuwepo jana hii ndio maana kamili ya neno FULL HOUSE.

Mambo muhimu na ya msingi sana ambao wengine hawayataki kusikia ni kuwa Ilitangazwa siku Tatu kabla ya siku hii Tiketi zote zilikwisha SOLD OUT ila Ilitangazwa kuwa Mageti yatakuwa Wazi Kuanzia saa 2 asubuhi, ilipofika saa 4 asubuhi tayari kwa mujibu wa system ya NCard watu 16,000 walikuwa wameingia Uwanjani, ilipofika saa 6 mchana Watu 37,000 walikuwa tayari ndani ya Uwanja, ilipofika saa Saba na Nusu mchana watu 58,000 walikuwa wamekwisha ingia Uwanjani mwisho ni saa NANE NA NUSU Mageti Yote yalifungwa sababu Uwanja ulishajaa kupita kiasi na kwa mujibu wa Taratibu za Protocol zilitaka Kabla ya Mhe. Rais hajafika nje pawe salama na asiwepo mtu wa kuingia ndani tena Wanasimba waliwasaidia Watu wa Protocol kufanya hili masaa 2 kabla ya ratiba yao kufunga milango wao wakawa FULL HOUSE, sasa kama ulikuwa una tiketi ulikuwa unataka kuingia Uwanjani kilichokufanya usiingie ni kutofuata Taratibu za siku husika tunasema Pole sana lakini utakiwa umefurahia ulipo.

Hii ni Tukio ambalo limeonyesha ukubwa wa Simba CAF kutojuta kuiweka Simba katika African Super League na kutoa zawadi ya kutengeneza PITCH ya Mkapa Stadium kwa udhamini wa mashabiki wa Simba.

NYAMA ZIPO JUU KABISA KATIKA MTORI
 
Utimamu wa mwili SIMBA bado sana...
Cjui kama wana mazoezi ya nguvu.
Nimeona Onana, Ngoma , Kibu, micquson wakipushiwa tu wanahama njia...
Fanyieni kazi haraka kama lakini mna mawazo ya SUPER LEAGUE..
TULITEGEMEA MPIRA wa kasi, pasi za haraka haraka wakifungua vyumba ...Badala take angalau nimeona hilo kwa Dynamo..
Wenyeji umetubeba...

Cjui labda tusubiri
watalipinga hili ila huo ndio ukweli
 
Back
Top Bottom