joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wanasemaga akili ni nywele kila mtu anazake, ila hawaja identity za eneo gani.Kama kwa utashi wako unaona ni sawa basi it's ok.Sasa hizo ni tafsiri na hisia zako binafsi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasemaga akili ni nywele kila mtu anazake, ila hawaja identity za eneo gani.Kama kwa utashi wako unaona ni sawa basi it's ok.Sasa hizo ni tafsiri na hisia zako binafsi.
Leo utahaha sana,tangu mwanzo wa tamasha mpaka sasa umehangaika sana kukosoa na hujafanikiwa.Tamasha la Simba Day limekutesa sana siku ya leo.Utimamu wa mwili SIMBA bado sana...
Cjui kama wana mazoezi ya nguvu.
Nimeona Onana, Ngoma , Kibu, micquson wakipushiwa tu wanahama njia...
Fanyieni kazi haraka kama lakini mna mawazo ya SUPER LEAGUE..
TULITEGEMEA MPIRA wa kasi, pasi za haraka haraka wakifungua vyumba ...Badala take angalau nimeona hilo kwa Dynamo..
Wenyeji umetubeba...
Cjui labda tusubiri
Na pia siyo lazima kile serikali ya kichwa chako inavyokitafsri ndicho kiwe sahihi,mwingine anaweza kuangalia hilo tukio kwa angle tofauti na akaja na tafsiri yake pia na akawa sahihi piaWanasemaga akili ni nywele kila mtu anazake, ila hawaja identity za eneo gani.Kama kwa utashi wako unaona ni sawa basi it's ok.
Kila mmoja akawa na tafsiri yake, ila still bado haiondoi ubaya wa hiko kitu.Na pia siyo lazima kile serikali ya kichwa chako inavyokitafsri ndicho kiwe sahihi,mwingine anaweza kuangalia hilo tukio kwa angle tofauti na akaja na tafsiri yake pia na akawa sahihi pia
Kama aliamua kufanya vituko vyake ni sawa ,hata we unaruhusiwa ndo maana wengine wanajichora rangiSo wewe kwa akili yako unaona ni sawa.....?
Kama wengine kwa hili bado mna mitizamo hiyo,basi sawa.Kama aliamua kufanya vituko vyake ni sawa ,hata we unaruhusiwa ndo maana wengine wanajichora rangi
Kwahiyo Tanzania nzima albino ni manara tu?Wamechukua albino na kumvalisha pampas,then alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa kwa maelekezo ya maMC ni kitu kikichoshusha utu wake.Siajajua kama na yy kweli ni mzima kiakili au anauchizi fulani.
Mpira ni mchezo wa wastaarab,waungwana na watu wenye heshima. Moja ya lengo la mpira ni kuwaunganisha watu na si kuwabagua wala kuwatenganisha, hichi kilicho fanyika leo,kama walizani kina mgusa Manara basi wamekosea sana kwani huu ni ubaguzi na unyanyasaji zidi ya albino kwani.
So ww kwa leo hamjamdhalilisha Manara bali Albino.Kwahiyo Tanzania nzima albino ni manara tu?
Angefanya mtu mwenye ngozi ya kawaida ungelibeba hivi? Ni wangapi hufanya matukio ya hivyo kwenye matamasha haya, kwanini huyu Albino ndio iwe deal?Wamechukua albino na kumvalisha pampas,then alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa kwa maelekezo ya maMC ni kitu kikichoshusha utu wake.Siajajua kama na yy kweli ni mzima kiakili au anauchizi fulani.
Mpira ni mchezo wa wastaarab,waungwana na watu wenye heshima. Moja ya lengo la mpira ni kuwaunganisha watu na si kuwabagua wala kuwatenganisha, hichi kilicho fanyika leo,kama walizani kina mgusa Manara basi wamekosea sana kwani huu ni ubaguzi na unyanyasaji zidi ya albino kwani.
Albino hawezi kufanya maamuzi yake mwenyewe mpaka atumwe? Hawa watu mnawachukuliaje?So ww kwa leo hamjamdhalilisha Manara bali Albino.
Kweli akili ni nywele japo hawa kusema za eneo gani. Okay basi sawa.Angefanya mtu mwenye ngozi ya kawaida ungelibeba hivi? Ni wangapi hufanya matukio ya hivyo kwenye matamasha haya, kwanini huyu Albino ndio iwe deal?
Yule ni mtu kama wewe na ana uwezo wa kufanya alitakalo, kwanini uhisi kuwa alitumwa, mbona wale weusi huwa hamsemi hivi?
WEWE NI MBAGUZI, tusio wabaguzi tunaona ni hali ya kawaida tu.
Wale ni watu watu kama wewe, wanachohitajini kutambulika na kuthaminiwa, sio HURUMA ZA KINAFIKI.
Kwa hiyo huyo albino aliamua mwenyewe, okay basi sawaAlbino hawezi kufanya maamuzi yake mwenyewe mpaka atumwe? Hawa watu mnawachukuliaje?
Thibitisha kuwa alitumwa kufanya vile.
Hakuna aliyedhalilishwaSo ww kwa leo hamjamdhalilisha Manara bali Albino.
Ndio nikasema akili ni nywele.Hakuna aliyedhalilishwa
Kama wewe kimekugusa basi yeye kitamuuma sana japo siungi mkono tukio hilo.Wamechukua albino na kumvalisha pampas,then alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa kwa maelekezo ya maMC ni kitu kikichoshusha utu wake.Siajajua kama na yy kweli ni mzima kiakili au anauchizi fulani.
Mpira ni mchezo wa wastaarab,waungwana na watu wenye heshima. Moja ya lengo la mpira ni kuwaunganisha watu na si kuwabagua wala kuwatenganisha, hichi kilicho fanyika leo,kama walizani kina mgusa Manara basi wamekosea sana kwani huu ni ubaguzi na unyanyasaji zidi ya albino kwani.
Pengine ni dalali anafungua vyumba vya wapangaji.Uliwahi cheza hata open space mkuu?
Unafungua Vyumba kuelekea wapi watu wamekaa golini?