othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Simba ilikuwa inakuzwa nje ya uwanja ...Leo tumeshuhudia simba ni yakawaida mno...
Natabiri wataondoka kapa tena.
Natabiri wataondoka kapa tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dan fodioSimba ilikuwa inakuzwa nje ya uwanja ...Leo tumeshuhudia simba ni yakawaida mno...
Natabiri wataondoka kapa tena.
Uliwahi cheza hata open space mkuu?Utimamu wa mwili SIMBA bado sana...
Cjui kama wana mazoezi ya nguvu.
Nimeona Onana, Ngoma , Kibu, micquson wakipushiwa tu wanahama njia...
Fanyieni kazi haraka kama lakini mna mawazo ya SUPER LEAGUE..
TULITEGEMEA MPIRA wa kasi, pasi za haraka haraka wakifungua vyumba ...Badala take angalau nimeona hilo kwa Dynamo..
Wenyeji umetubeba...
Cjui labda tusubiri
Sawa.Simba ilikuwa inakuzwa nje ya uwanja ...Leo tumeshuhudia simba ni yakawaida mno...
Natabiri wataondoka kapa tena.
Alikuwa inchaji wa benchi, ana muda kumshawishi kocha kuwa ana fitness ya kucheza mechi za kimashindano.Namuona kama vile hana furaha
Manara akitusi wenzake ni sawa, akitusiwa yeye kanyanyapaliwa,unapotusi ujue utarudishiwaWamechukua albino na kumvalisha pampas,then alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa kwa maelekezo ya maMC ni kitu kikichoshusha utu wake.Siajajua kama na yy kweli ni mzima kiakili au anauchizi fulani.
Mpira ni mchezo wa wastaarab,waungwana na watu wenye heshima. Moja ya lengo la mpira ni kuwaunganisha watu na si kuwabagua wala kuwatenganisha, hichi kilicho fanyika leo,kama walizani kina mgusa Manara basi wamekosea sana kwani huu ni ubaguzi na unyanyasaji zidi ya albino kwani.
Mkuu , naingilia SIMBA kwa level ya Giants wa CAF, SUPER LEAGUE.. akina Esperance, Mamelody, Raja, nk..Mkuu 2-0 umebebwa na uwenyeji?
Mkuu unahisi mtu ni kisiki akisukumwa asianguke
Mkuu kama mpira ungekua wanaangalia nguvu za kutoanguka unahisi skudu angecheza mpira?
Mkuu wewe umeangalia mpira kwenye Tv unapata wapi nguvu ya kuhoji mazoezi ya nguvu kwa maono ya kwenye Tv
Mimi sijui mpira mkuu ila ina maana dakika 90 simba tulikua tunabutua tu kwamba hujaona playmaking yoyote ile dakika 90 kutoka simba mpaka umeona power dynamo bora kuliko sisi?
Hujaona pressing iliyokua inafanywa na wachezaji wa simba?
Yanga aliyechukua makombe misimu miwili alipambananishwa na timu ambazo zimechukua makombs kwao akaishia kucheza mechi mbili tu akatolewa.Utimamu wa mwili SIMBA bado sana...
Cjui kama wana mazoezi ya nguvu.
Nimeona Onana, Ngoma , Kibu, micquson wakipushiwa tu wanahama njia...
Fanyieni kazi haraka kama lakini mna mawazo ya SUPER LEAGUE..
TULITEGEMEA MPIRA wa kasi, pasi za haraka haraka wakifungua vyumba ...Badala take angalau nimeona hilo kwa Dynamo..
Wenyeji umetubeba...
Cjui labda tusubiri
Umejuaje anatusiwa manara ? Inawezekana ni mzuka tu wa kishabiki wa huyo albino kwani uwanjani vituko si vipo vingiWamechukua albino na kumvalisha pampas,then alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa kwa maelekezo ya maMC ni kitu kikichoshusha utu wake.Siajajua kama na yy kweli ni mzima kiakili au anauchizi fulani.
Mpira ni mchezo wa wastaarab,waungwana na watu wenye heshima. Moja ya lengo la mpira ni kuwaunganisha watu na si kuwabagua wala kuwatenganisha, hichi kilicho fanyika leo,kama walizani kina mgusa Manara basi wamekosea sana kwani huu ni ubaguzi na unyanyasaji zidi ya albino kwani.
Sasa hapo ww unaamini mliye mrudishia ni Manara?Manara akitusi wenzake ni sawa, akitusiwa yeye kanyanyapaliwa,unapotusi ujue utarudishiwa
So wewe kwa akili yako unaona ni sawa.....?Umejuaje anatusiwa manara ? Inawezekana ni mzuka tu wa kishabiki wa huyo albino kwani uwanjani vituko si vipo vingi
Naona DP World kambeba Ahmed Ally kwa Nkapa hatoki Ntu
Pole lakini,dose ya leo ya Simba day ilikuwa kubwa sana kwenu majiraniInatosha kwa leo
[emoji23][emoji23][emoji23] bora umeamua kuwa mkweliHapa hapanifai, kwaherini
Kitu gani tena kimefanyika mpaka umuhusishe na Manara?Ila kweli Manara anakera sababu ya ujinga wake,mtu wa hovyo ila mlichofanya leo kumeishusha hadhi yenu. Mimi naamini Manara mdogo kuliko Simba kwani Simba ni taasisi, ila mlicho kifanya leo kama viongozi wamekibariki basi viongozi hamna.
Kama hujakiona basi hata hiyo profile picha yako inabidi uiondoe.Kitu gani tena kimefanyika mpaka umuhusishe na Manara?
Sasa hizo ni tafsiri na hisia zako binafsi.Wamechukua albino na kumvalisha pampas,then alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa kwa maelekezo ya maMC ni kitu kikichoshusha utu wake.Siajajua kama na yy kweli ni mzima kiakili au anauchizi fulani.
Mpira ni mchezo wa wastaarab,waungwana na watu wenye heshima. Moja ya lengo la mpira ni kuwaunganisha watu na si kuwabagua wala kuwatenganisha, hichi kilicho fanyika leo,kama walizani kina mgusa Manara basi wamekosea sana kwani huu ni ubaguzi na unyanyasaji zidi ya albino kwani.