FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

FT: Simba Day | Simba SC 2-0 Power Dynamos | Benjamin Mkapa | Agosti 6, 2023

Utimamu wa mwili SIMBA bado sana...
Cjui kama wana mazoezi ya nguvu.
Nimeona Onana, Ngoma , Kibu, micquson wakipushiwa tu wanahama njia...
Fanyieni kazi haraka kama lakini mna mawazo ya SUPER LEAGUE..
TULITEGEMEA MPIRA wa kasi, pasi za haraka haraka wakifungua vyumba ...Badala take angalau nimeona hilo kwa Dynamo..
Wenyeji umetubeba...

Cjui labda tusubiri
Uliwahi cheza hata open space mkuu?
Unafungua Vyumba kuelekea wapi watu wamekaa golini?
 
Simba ilikuwa inakuzwa nje ya uwanja ...Leo tumeshuhudia simba ni yakawaida mno...

Natabiri wataondoka kapa tena.
Sawa.
Hata msimu uliopita hatukuchukua ila ka-google ni ya ngapi.
Nyie wenye makombe mbona mlishindwa kucheza Champion league timu zenye ubora? Mlicheza mechi mbili tu?
Unajisifia umechukua makombe ukipambanishwa na timu ambazo zimechukua makombe huko kwao unadoda
 
Wamechukua albino na kumvalisha pampas,then alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa kwa maelekezo ya maMC ni kitu kikichoshusha utu wake.Siajajua kama na yy kweli ni mzima kiakili au anauchizi fulani.

Mpira ni mchezo wa wastaarab,waungwana na watu wenye heshima. Moja ya lengo la mpira ni kuwaunganisha watu na si kuwabagua wala kuwatenganisha, hichi kilicho fanyika leo,kama walizani kina mgusa Manara basi wamekosea sana kwani huu ni ubaguzi na unyanyasaji zidi ya albino kwani.
Manara akitusi wenzake ni sawa, akitusiwa yeye kanyanyapaliwa,unapotusi ujue utarudishiwa
 
20230806_212106.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu 2-0 umebebwa na uwenyeji?


Mkuu unahisi mtu ni kisiki akisukumwa asianguke

Mkuu kama mpira ungekua wanaangalia nguvu za kutoanguka unahisi skudu angecheza mpira?

Mkuu wewe umeangalia mpira kwenye Tv unapata wapi nguvu ya kuhoji mazoezi ya nguvu kwa maono ya kwenye Tv

Mimi sijui mpira mkuu ila ina maana dakika 90 simba tulikua tunabutua tu kwamba hujaona playmaking yoyote ile dakika 90 kutoka simba mpaka umeona power dynamo bora kuliko sisi?

Hujaona pressing iliyokua inafanywa na wachezaji wa simba?
Mkuu , naingilia SIMBA kwa level ya Giants wa CAF, SUPER LEAGUE.. akina Esperance, Mamelody, Raja, nk..
Kama utawatazama simba kwa ya DYNAMO utaona sawa..
Lakini ukweli nikitaraji kuona ufundi mkubwa, domination ya kutosha..
Ila utaona Dynamo wakati fulani wanavyofunguka...kuna wakati wametukosa...
 
Utimamu wa mwili SIMBA bado sana...
Cjui kama wana mazoezi ya nguvu.
Nimeona Onana, Ngoma , Kibu, micquson wakipushiwa tu wanahama njia...
Fanyieni kazi haraka kama lakini mna mawazo ya SUPER LEAGUE..
TULITEGEMEA MPIRA wa kasi, pasi za haraka haraka wakifungua vyumba ...Badala take angalau nimeona hilo kwa Dynamo..
Wenyeji umetubeba...

Cjui labda tusubiri
Yanga aliyechukua makombe misimu miwili alipambananishwa na timu ambazo zimechukua makombs kwao akaishia kucheza mechi mbili tu akatolewa.
Safari hii ukitolewa CAF champion league unatolewa, hauendi kucheza shirikisho
 
Wamechukua albino na kumvalisha pampas,then alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa kwa maelekezo ya maMC ni kitu kikichoshusha utu wake.Siajajua kama na yy kweli ni mzima kiakili au anauchizi fulani.

Mpira ni mchezo wa wastaarab,waungwana na watu wenye heshima. Moja ya lengo la mpira ni kuwaunganisha watu na si kuwabagua wala kuwatenganisha, hichi kilicho fanyika leo,kama walizani kina mgusa Manara basi wamekosea sana kwani huu ni ubaguzi na unyanyasaji zidi ya albino kwani.
Umejuaje anatusiwa manara ? Inawezekana ni mzuka tu wa kishabiki wa huyo albino kwani uwanjani vituko si vipo vingi
 
Ila kweli Manara anakera sababu ya ujinga wake,mtu wa hovyo ila mlichofanya leo kumeishusha hadhi yenu. Mimi naamini Manara mdogo kuliko Simba kwani Simba ni taasisi, ila mlicho kifanya leo kama viongozi wamekibariki basi viongozi hamna.
Kitu gani tena kimefanyika mpaka umuhusishe na Manara?
 
Wamechukua albino na kumvalisha pampas,then alichokuwa akikifanya kwenye jukwaa kwa maelekezo ya maMC ni kitu kikichoshusha utu wake.Siajajua kama na yy kweli ni mzima kiakili au anauchizi fulani.

Mpira ni mchezo wa wastaarab,waungwana na watu wenye heshima. Moja ya lengo la mpira ni kuwaunganisha watu na si kuwabagua wala kuwatenganisha, hichi kilicho fanyika leo,kama walizani kina mgusa Manara basi wamekosea sana kwani huu ni ubaguzi na unyanyasaji zidi ya albino kwani.
Sasa hizo ni tafsiri na hisia zako binafsi.
 
Back
Top Bottom