Kwani Miquisson umemuona?Ila kama Mama Samia Simuoni...
Japo nimevamiaa Kat.
Nijuzeni wakuu..
Mwambie Akabebe na Yeye.Ndio kawabeba sasa.
Ukiona shabiki lia lia amesusa kwenda estadio mkapa leo ujue tu kuwa robo robo fc leo anachezea kichapo cha mbwa mwizi.Watu wametoka Kigoma kuja Dar.
Ila kuna Shabiki kindaki ndaki na yuko pale pale Dar na hajakanyaga Taifa.
Aaah nlijua mama atawahi kuondoa stress kupitiaa Chama la MnyamaaKwani Miquisson umemuona?
Raisi nadhani yupo around
MBUMBUMBU [emoji1787]3 Zidisha kwa MBU=?
Nisaidie wakuu
[emoji1][emoji1]Enonga sasa wamekutana na mkongo mwenzake Mc Petit