Huko Zambia, majina kama Bwalya ni mengi sana.Jamani kwenye screen huko anaonekana Ralky Bwalya kweli?
Na wale ambao huwa wanashinda je inakuwaje?Wageni itakua huwa wanaambiwa walegeze,wasikaze.
Mambingwa wa Zambia hao.Footwork ya hawa Dynamo wako vizuri
Toa aingie Baleke kazubaa tuToa Kibu Denis Kocha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna points hapa.Point 3 muhimu
Nataka kumjua pia.Nani kachop ile cross?
Nani kachop ile cross?
Muda utathibitisha hili.Hapa simba Sc imepata player, magoli ya ulaya kabisa halafu kama hajali hivi.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]