Ni player mzuri.Huyu Onana Kashapita.
Anhaa kumbe familiaKapombee
Yote kheri muhimu anatia migoli tuSio wa Zambia huyu, ni Rwanda kama sijakosea.
Kabisa mkuuKama watashinda ile mechi yao ya awali tutakutana nao kwenye mechi ya kiushindani CAFCL, tutawaambia walegeze pia.
mmeanzaToa Kibu Denis Kocha
Hadi huku tulipokaa mashabiki yupoOnana Yupo Kila Upandee
Nisaidie kumuuliza[emoji28][emoji28][emoji28] Kabisa Na Hawa Power Dynamos?
Hii ni friendly match usishupaze shingo dogo.Kama Robertihno Ataendelea Kumkumbatia Kibu anacho Kitafuta Atakipata
Hadi huku tulipokaa mashabiki yupo