Jesus Mlokozi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 2,684
- 21,117
Naona shabiki ya yanga anabwatuka sijaelewa sababu ni nini.
Achaneni naye huyo kavimbiwa mihogo.
Achaneni naye huyo kavimbiwa mihogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yanga ilianzishwa kushinda ubingwa tanzania na afrika kwa ujumla wakeYanga ilianzishwa ili kucheza na Simba peke yake tu??
Kipimo cha ubora wa Yanga ni kwa kuifunga Simba tu?
Yanga waliposema malengo yao mwaka huu ni kufika hatua ya makundi ya Klab bingwa Afrika walikuwa wanalenga kufika kwenye hatua isiyo na maana kwao??
mbumbumbu kwenye ubora wakoNaona shabiki ya yanga anabwatuka sijaelewa sababu ni nini.
Achaneni naye huyo kavimbiwa mihogo.
Simba inafungwa na timu nyingi sana, ila mwisho wa siku huchukua ubingwa pia. Hizo robo fainali unazozidharau ndizo zinaifanya Tanzania kuwa nchi pekee kwa Afrika Mashariki kuwa na timu nne kwenye mashindano ya Afrika.yanga ilianzishwa kushinda ubingwa tanzania na afrika kwa ujumla wake
hadi sasa ndo inaongoza kwa kuchukua ubingwa
je kuna nyie mlianzishwa kufungwa na yanga na kuishia robo fainal
Tufanye mechi 12 za mwisho mashindano yote, leta takwimuhivi yanga katika mechi 5 za mwisho na simba ya wanaume kafungwa ngapi, kashinda ngapi na ka draw ngap
5 chache tangu wakutane simba na yanga nani kapakatwa mara nyingi
ukijua rekodi hizo utajua yanga si wakufananishwa na timu yoyote bongo
mkuu umenikumbusha mtangazaji wa azam tv alikuwa na mawazo kama yako akaishia kuomba radhiSimba inafungwa na timu nyingi sana, ila mwisho wa siku huchukua ubingwa pia. Hizo robo fainali unazozidharau ndizo zinaifanya Tanzania kuwa nchi pekee kwa Afrika Mashariki kuwa na timu nne kwenye mashindano ya Afrika.
ISHUKURUNI SIMBA!!
bado yanga yuko vzr mkuu akifungwa moja na wewe pia umepasuliwa na azam alafu yanga ana goli nyingi mnoooooTufanye mechi 12 za mwisho mashindano yote, leta takwimu