Kila mtu na malengo yake. Kama vile utopolo lengo la kusajiri kina aziza, joyce, jiara, birigimana, nk ni kwaa ajili ya kifunfa ihefu, na kuikamia simba hapa bongo baasi. Ndio mpk leo mnajivunia kombe la 45 la unbeaten [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mchezaji yoyote anaejitambua na kutaka kuendeleza soka lake hawezi kuchezea utopolo. Leo aziz ki anajuuta, aucho analia, jiara ndio kabisaa anajitukana tuu kila akilala, huyo joyce anaona bora angebaki alikotoka. Morisoni najilaumu ndio haishi kuwatukana wenzie.
Labda hapo mchezaji mwenye furaha ni mayele na bangala tuu maana wakongo wanabweteka kiraisi sana yaani wakiimbwa kwenye bendi wanakata mauno tuu.