Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Unabeza makundi wakati we mara ya mwisho kushiriki ilikuwa 98BChuku kimataifa mnapo jificha huwa nacheka sana
mtu unaishia makundi, robo bado unajihisi una timu ya maana sana
makundi ni kichaka cha kujificha tu, waarabu huwezi kuta wanafurahia timu yao kuingia makundi maana si kitu cha maana.
umaskini wa mafanikio kwetu unafanya tuone makundi ama robo ni jambo la maana sana
Kama makundi ni kichaka why mkasirike na performance inayoonehwa na kikosi chenu kwenye michuano ya kutafuta makundi (ya failures)