FT: Simba Queens 2-0 Green Buffaloes | CAF Women's Champions League | 05-11-2022

FT: Simba Queens 2-0 Green Buffaloes | CAF Women's Champions League | 05-11-2022

Imefanikiwa kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kufuzu kuingia Hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake baada ya kuifunga Green Buffaloes ya Zambia.

Simba Queens ambayo ilipoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Determine Girls, imeshinda 2-0 dhidi ya Green Buffaloes wafungaji wakiwa ni Asha Djafari na Opah Clement.

Ikiwa na pointi sita katika michezo mitatu, timu hiyo imeungana na ASFAR Club kusonga mbele kutoka katika kundi hilo.

===========

Simba 2-0 Green Buffaloes
Simba 1-0 Green Buffaloes

Dakika ya 70
Mchezo hatukupoteza kwa Determine Girls Bali kwa ASFAR.
 
Kwa hatua hii Ina maana Simba Queen's imewashinda hadi Yanga iliyoishia kutolewa hatua za awali Champions League?

TFF ifanye Mpango kule Tunisia ikacheze Simba Queen's badala ya Yanga 🤪
hivi yanga katika mechi 5 za mwisho na simba ya wanaume kafungwa ngapi, kashinda ngapi na ka draw ngap

5 chache tangu wakutane simba na yanga nani kapakatwa mara nyingi

ukijua rekodi hizo utajua yanga si wakufananishwa na timu yoyote bongo
 
Kutoka hapo Simba Queens walipo mpaka tunis pana umbali gani?

Najaribu kuangalia namna ya kuwasaidia ndugu zetu
unamsaidia mtu anaye kupasua kila mkikutana
 
hivi yanga katika mechi 5 za mwisho na simba ya wanaume kafungwa ngapi, kashinda ngapi na ka draw ngap

5 chache tangu wakutane simba na yanga nani kapakatwa mara nyingi

ukijua rekodi hizo utajua yanga si wakufananishwa na timu yoyote bongo
Pamoja na hizo rekodi zinazokubeba, nani ambaye ana furaha na timu yake katika kipindi hiki?
 
Tutapenda kufahamu hiyo nusu fainali lini
 
unamsaidia mtu anaye kupasua kila mkikutana
Last moment ilikuwa juzi tarehe 23, kampasua nani?

Haya baada ya kunifunga amekuwa na faida gani kimataifa?

Si umeona mwenyewe kitakwimu hesabu zinamgomea anajikuta kazidiwa hadi na Opah
 
Last moment ilikuwa juzi tarehe 23, kampasua nani?

Haya baada ya kunifunga amekuwa na faida gani kimataifa?

Si umeona mwenyewe kitakwimu hesabu zinamgomea anajikuta kazidiwa hadi na Opah
huku kimataifa mnapo jificha huwa nacheka sana

mtu unaishia makundi, robo bado unajihisi una timu ya maana sana

makundi ni kichaka cha kujificha tu, waarabu huwezi kuta wanafurahia timu yao kuingia makundi maana si kitu cha maana.

umaskini wa mafanikio kwetu unafanya tuone makundi ama robo ni jambo la maana sana
 
hivi yanga katika mechi 5 za mwisho na simba ya wanaume kafungwa ngapi, kashinda ngapi na ka draw ngap

5 chache tangu wakutane simba na yanga nani kapakatwa mara nyingi

ukijua rekodi hizo utajua yanga si wakufananishwa na timu yoyote bongo
Kwahiyo ww furaha yako nikumfunga simba tu..ndio malengo ya club yenu
 
Back
Top Bottom