Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BaelezeeHivi nyie Wizard hiki kikosi chenu anakosekana nani?
Zaidi ya Kibu, Mzamiru na Inonga?
Yako Wapi...? Yalikuwa yametawanyika..Hayo yanaibuka sasa hivi kutoka huko yalikojificha
Naunga mkono hojaTunavyosema hakuna wa kumuondoa Chama pale Simba kwaSasa ni kwenye mechi kama izi.
Simba kwasasa hawajapata mbadala wa Chama, wanahangaika kama kuku aliye katwa kichwa.
Hako ka kikosi ka uto ka jana kalijua kanacheza na timu dhwaifu bin haliii..basi wanajiona wamecheza na timuu
..eti wanajisifia kikosi B hahahahahaah
Watagongwa tuu watake wasitake..ngoja tuone kikosi watakachocheza nacho....kikosi bee au buuuTumewakosa Utopwinyo.
Tuwagonge
Mimba zenu mlishajifunguaga au bado? Zile za 5 kwa 0 na 6 kwa 0
Ulikua wapi mwanzo wa uzi au ulijificha kwa sbb unijua Simba mashine kubwa...lolote linaweza kutokea?Tunavyosema hakuna wa kumuondoa Chama pale Simba kwaSasa ni kwenye mechi kama izi.
Simba kwasasa hawajapata mbadala wa Chama, wanahangaika kama kuku aliye katwa kichwa.
💯 💯 💯Tunavyosema hakuna wa kumuondoa Chama pale Simba kwaSasa ni kwenye mechi kama izi.
Simba kwasasa hawajapata mbadala wa Chama, wanahangaika kama kuku aliye katwa kichwa.
Utasubiri sanaaa...Simba moto ndo umewaka..kwani kuna nini cha kumtoa kocha...labda mumtoe yule para wenuWalisemaaa chamazi hatuna neema nayoooooo
sasaaaaa
na huuuu NEWAMANI Msishangae kusikiaaaa mmh huu hatunaa ASHURA NAOOOOO
NA BADO MTASEMA...HUUYU KOCHA ANA MAAMUZI MAGUMU YAHATARR NIPENI MARCH MTANIAMBIA KAMA YUKO SIMBAA
NIKO PALEKWAMANGIIIIINAMZOOOOOO.