Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi shambulio limeua? Wengine tupo hoves....Dakika ya 64 simba wanashambuliwa
HahahahahahaaGoool, limekataa ilo,nywele za onana zimepiga mpira ,badala ya kichwa
Mnafananisha kitimu cha jana na hii?.mtani kakutana na
KVZ YA
RWANDA
Pdidy kumbe bado upo? Nakumbuka enzi hizo ulikuwa unatupia stori za airport, hadi kuna kipindi nikahisi wewe ni taxi driver wa gari za kule ndanimtani kakutana na
KVZ YA
RWANDA
kwa kuwa ni kipanaKwaiyo makolo kikosi cha 1,2,3 ni kile kile kasoro jina