Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
FT: Simba SC 1-0 Ihefu FC
Naaam mpira umekwishaaaaaa ambapo Simba SC wanaibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi ya Ihefu FC.
90+3' kuelekea kumalizika kwa mchezo, Ihefu FC wanajitahidi kadri ya uwezo kutafuta bao, lakini muda mchache sana.
89' Akpan ameingia kuchukua nafasi ya MTUWilliam anaingia kuchukua nafasi ya Wadada
85' Sakho anafanya Kazi nzuri lakini, Simba wanashindwa kumalizika nafasi ile.
81' Kanoute anaonyeshwa Kadi ya Njano kwa mchezo mbaya.
78' Kissu yupo chini akipatiwa matibabu, anatolewa nje, mpira unaendelea
72' Ihefu FC wanapata Kona ambayo haikuzaa bao, inaokolewa na Henock
67' Ssituba anaonyeshwa Kadi ya Njano kwa kumchezea madhambi Kibu, ni faulo kuelekea Ihefu FC anapiga Kapombe, Kanoute anapiga kichwa njee.
63' [emoji460] SAKHO GOOOOOOOOOOOOOAAAL GOOAL, Pepe Sakho anaandika bao la kwanza kwa Simba SC
59' Ametoka Kyombo na ameingia Kibu.
57''Wadada anapiga Krosi lakini golikipa Manula anadaka bila wasiwasi
54' Sakho anafanya faulo, anaonywa na mwamuzi.
Tigere na Tshihimbi wanakwenda benchi na wameingia John na Kitenga.
Simba wameanza kwa kasi kipindi hiki cha pili kutafuta bao
49' Kyombo anakosa nafasi nzuri ya kufunga shuti lake linatoka sentimita chache ya lango la Ihefu
47' Kipindi cha pili kimeanza huku Simba wakifanya majaribio lakini Hussein anashindwa kuunganisha kichwa cha Phiri.
45+1' Kuelekea kuwa mapumziko.
Naaam mpira ni mapumziko na hakuna Timu imeona lango la mwenzake.
30’ Kipa wa Ihefu ameumia mchezo umesimama kwa muda, ameinuka mpira unaendelea
26' Simba SC wanapata faulo kwa mara nyingine, anapiga Okrah lakini anakosa nafasi nzuri ya kufunga.
Ni mpira wa kutengwa tena kuelekea Ihefu FC, Refa aliamuru mkwaju wa penalty, lakini alipata usaidizi wa mwamuzi wa pembeni.. Phiri anapiga shutii njee!
Simba wanapata Free Kick, anakwenda kupiga Okrah, anapiga shutii lakini linababatiza msitu wa mabeki.
15’ Simba wanaongeza mashambulizi lakini Ihefu wanakuwa wagumu kulinda lango lao
10’ Kasi ya mchezo inazidi kuongezeka huku kila timu ikijaribu kutafuta bao.
06' Simba wanaendelea kujipanga kwa pasi kadhaa huku wakitafuta mpenyezo nyuma ya mabeki.
04' Mchezo umesimama kwa muda, kiungo Tshishimbi wa Ihefu ameumia
03' Timu zinasomana, Simba wanapanga mashambulizi
00' Mchezo umeanza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa | Simba SC 0-0 Ihefu FC
Kikosi cha Ihefu dhidi ya Simba, leo Jumamosi Novemba 12, 2022
Kikosi cha Simba kinachoanza mchezo wa leo Novemba 12, 2022
dhidi ya Ihefu FC, Uwanja wa Benjamin Mkapa
==============
Kama si Patashika basi ni Mbiringe ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kuvurumishwa leo Jumamosi ya November 12, 2022 ambapo Mnyama Mkali Mwituni Simba SC[emoji881] yupo tayari kuwakabili vilivyo Ihefu FC kwenye Uwanja wa Stade de Benjamin Mkapa[emoji2522] Jijini Dar es salaam.
Haya ndo maneno ya Makocha wa Timu zote mbili wanaelezea utayari wao namna watakavyozipambania alama tatu muhimu za Ligi Kuu Tanzania Bara
Kocha Mkuu wa Simba SC Juma Mgunda amesema haya kuelekea mchezo huo muhimu.
Tunajua kesho (leo) tuna mchezo muhimu sana, maandalizi yapo vizuri na tupo tayari kupambana na Ihefu FC". Amesema Mgunda Gerdiola.
Kocha Msaidizi wa Ihefu FC Themi Felix amesema haya kuelekea mchezo huo muhimu.
Tupo tayari kwa mchezo dhidi ya Simba SC, ni kweli tupo mwisho na tuna mechi ngumu kesho (leo) lakini ukiangalia michezo yetu ya mwisho kuna mabadiliko". Amesema Themi Felix
Je..Nani mwenye mbinu Mujaarabu kwenye mawindo yake ya kuzipambania alama tatu muhimu? Ngoja Tusubiri Kuona Ndani ya Dakika 90 za Jasho na Damu.
Kumbuka mchezo ni kuanzia saa[emoji354] 1:00 Usiku.. Usikose Ukaadithiwa Yaani.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
Naaam mpira umekwishaaaaaa ambapo Simba SC wanaibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi ya Ihefu FC.
90+3' kuelekea kumalizika kwa mchezo, Ihefu FC wanajitahidi kadri ya uwezo kutafuta bao, lakini muda mchache sana.
89' Akpan ameingia kuchukua nafasi ya MTUWilliam anaingia kuchukua nafasi ya Wadada
85' Sakho anafanya Kazi nzuri lakini, Simba wanashindwa kumalizika nafasi ile.
81' Kanoute anaonyeshwa Kadi ya Njano kwa mchezo mbaya.
78' Kissu yupo chini akipatiwa matibabu, anatolewa nje, mpira unaendelea
72' Ihefu FC wanapata Kona ambayo haikuzaa bao, inaokolewa na Henock
67' Ssituba anaonyeshwa Kadi ya Njano kwa kumchezea madhambi Kibu, ni faulo kuelekea Ihefu FC anapiga Kapombe, Kanoute anapiga kichwa njee.
63' [emoji460] SAKHO GOOOOOOOOOOOOOAAAL GOOAL, Pepe Sakho anaandika bao la kwanza kwa Simba SC
59' Ametoka Kyombo na ameingia Kibu.
57''Wadada anapiga Krosi lakini golikipa Manula anadaka bila wasiwasi
54' Sakho anafanya faulo, anaonywa na mwamuzi.
Tigere na Tshihimbi wanakwenda benchi na wameingia John na Kitenga.
Simba wameanza kwa kasi kipindi hiki cha pili kutafuta bao
49' Kyombo anakosa nafasi nzuri ya kufunga shuti lake linatoka sentimita chache ya lango la Ihefu
47' Kipindi cha pili kimeanza huku Simba wakifanya majaribio lakini Hussein anashindwa kuunganisha kichwa cha Phiri.
45+1' Kuelekea kuwa mapumziko.
Naaam mpira ni mapumziko na hakuna Timu imeona lango la mwenzake.
30’ Kipa wa Ihefu ameumia mchezo umesimama kwa muda, ameinuka mpira unaendelea
26' Simba SC wanapata faulo kwa mara nyingine, anapiga Okrah lakini anakosa nafasi nzuri ya kufunga.
Ni mpira wa kutengwa tena kuelekea Ihefu FC, Refa aliamuru mkwaju wa penalty, lakini alipata usaidizi wa mwamuzi wa pembeni.. Phiri anapiga shutii njee!
Simba wanapata Free Kick, anakwenda kupiga Okrah, anapiga shutii lakini linababatiza msitu wa mabeki.
15’ Simba wanaongeza mashambulizi lakini Ihefu wanakuwa wagumu kulinda lango lao
10’ Kasi ya mchezo inazidi kuongezeka huku kila timu ikijaribu kutafuta bao.
06' Simba wanaendelea kujipanga kwa pasi kadhaa huku wakitafuta mpenyezo nyuma ya mabeki.
04' Mchezo umesimama kwa muda, kiungo Tshishimbi wa Ihefu ameumia
03' Timu zinasomana, Simba wanapanga mashambulizi
00' Mchezo umeanza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa | Simba SC 0-0 Ihefu FC
Kikosi cha Ihefu dhidi ya Simba, leo Jumamosi Novemba 12, 2022
Kikosi cha Simba kinachoanza mchezo wa leo Novemba 12, 2022
dhidi ya Ihefu FC, Uwanja wa Benjamin Mkapa
==============
Kama si Patashika basi ni Mbiringe ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kuvurumishwa leo Jumamosi ya November 12, 2022 ambapo Mnyama Mkali Mwituni Simba SC[emoji881] yupo tayari kuwakabili vilivyo Ihefu FC kwenye Uwanja wa Stade de Benjamin Mkapa[emoji2522] Jijini Dar es salaam.
Haya ndo maneno ya Makocha wa Timu zote mbili wanaelezea utayari wao namna watakavyozipambania alama tatu muhimu za Ligi Kuu Tanzania Bara
Kocha Mkuu wa Simba SC Juma Mgunda amesema haya kuelekea mchezo huo muhimu.
Tunajua kesho (leo) tuna mchezo muhimu sana, maandalizi yapo vizuri na tupo tayari kupambana na Ihefu FC". Amesema Mgunda Gerdiola.
Kocha Msaidizi wa Ihefu FC Themi Felix amesema haya kuelekea mchezo huo muhimu.
Tupo tayari kwa mchezo dhidi ya Simba SC, ni kweli tupo mwisho na tuna mechi ngumu kesho (leo) lakini ukiangalia michezo yetu ya mwisho kuna mabadiliko". Amesema Themi Felix
Je..Nani mwenye mbinu Mujaarabu kwenye mawindo yake ya kuzipambania alama tatu muhimu? Ngoja Tusubiri Kuona Ndani ya Dakika 90 za Jasho na Damu.
Kumbuka mchezo ni kuanzia saa[emoji354] 1:00 Usiku.. Usikose Ukaadithiwa Yaani.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana