FT: Simba SC 1-0 Ihefu FC | Ligi Kuu Bara | Stade de Benjamin Mkapa 12/11/2022

FT: Simba SC 1-0 Ihefu FC | Ligi Kuu Bara | Stade de Benjamin Mkapa 12/11/2022

Ni Free Kick kuelekea Ihefu FC, anapiga Moses Phiri anapiga shutii looo njee..!

Refa alibadili uamuzi baada ya kufunika penalty
 
Said Ally anamdhibiti Kyombo na kuutoa mpira nje
 
Ikiwa draw kuna mtu Ratco, Rahaleo au Tashrif yatamuhusu
 
26' Ni Free Kick kwa mara nyingine eneo karibu na box

Okrah anapiga shutii, linapaa nje ya lango
 
Dakika ngapi zimekatika ndugu zangu
20221111_215400.jpg
 
30' Kona inapigwa kuelekea Ihefu FC

Ssituba anaruka juu na kucheza, lakini yupo chini baada ya kupata rabsha, ameinuka mpira unaendelea
 
Back
Top Bottom