kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
I don't know the language you speak, but i know Roma Ramon from Tanzania...Msalimie mwanangu kiduku huko
Yes, kuanzia point 13 na kuendelea waache waende halmashauri kudhulumu fedha za wananchi na kujenga madaraja na barabara feki😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machoziii. Yaan div 1 ya 7 had 12??
Upi tena😆Daaaah, mkosi gani huu.
Yeye hana maneno anaacha miguu isemeAssist kutoka kwa Miquisson
Kuweni serious na kazi za watuYes, mchezo wa mpira ni full mathematics. Everything ni application ya maths. Bahati mbaya hatujajua huo mtego.
Aisee !Wameshakata moto
TamuKafunga goli gumu
Mko seriaz sana!!Simba [emoji881]
Hujawaona?Hivi kwenye Uzi huu Mautopolo yapo ..?