FT: Simba SC 1-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex| Robo Fainali | 08.01.2024

FT: Simba SC 1-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex| Robo Fainali | 08.01.2024

Attachments

  • 1704730702669.jpg
    1704730702669.jpg
    294.6 KB · Views: 1
Kwa umbumbumbu wako Kocha gani ambaye angesema hataki kombe ilihali ni mambo ya ki-muungano? Ebu kua kiakili hata kwa 0.0001% tu we Makolokolo
emoji847.png


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unamaanisha Yanga Sc si lolote bila hao wachezaji 7 walioenda AFCON?

Kama ni hivyo, ni ipi mantiki ya kusema kuwa Yanga Sc ina kikosi kipana?
 
S

Si unaona sasa
Kabla hata sijafungua nilijua tu utaandika kama umepata stroke

Huna point umekazania shimoni

Unataka kusema APR wamecheza na shimo la Yanga?[emoji16][emoji23]
Ukomo wa akili ni matusi, Makolokolo mnajaa upepo kindezi sana hamna vifua vya uvumilivu kimatani kabisa, eti nawe ni Kiongozi wa familia daaah...[emoji848][emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ukomo wa akili ni matusi, Makolokolo mnajaa upepo kindezi sana hamna vifua vya uvumilivu kimatani kabisa, eti nawe ni Kiongozi wa familia daaah...[emoji848][emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Huyo kiongozi wa familia ni wewe
Utajijua na shimo lako

Cha msingi ni kua umetoka kwenye haya mashindano na upo kuiweka bidhaa sokoni kwenye uzi wa simba 😁😁
 
Huyu saidooo natamani nipewe panga la wachezaji hata leo mbwa yule



Chezaji choyo sijapata ona
Sasa pale ile pasi ya kulia angetoa angekosa nini

Yani bora chama mshahara wa huyu kenge apewe yeye
Mpumbavu mchoyo balaa
 
Huyo kiongozi wa familia ni wewe
Utajijua na shimo lako

Cha msingi ni kua umetoka kwenye haya mashindano na upo kuiweka bidhaa sokoni kwenye uzi wa simba [emoji16][emoji16]
Umbumbumbu unakutesa sana Makolokolo, hujiulizi ukoo wenu wote ni Makolokolo tu hakuna hata Utopolo mmoja ili usiwe na utaahira namna hii...[emoji848][emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Huyu saidooo natamani nipewe panga la wachezaji hata leo mbwa yule



Chezaji choyo sijapata ona
Sasa pale ile pasi ya kulia angetoa angekosa nini

Yani bora chama mshahara wa huyu kenge apewe yeye
Mpumbavu mchoyo balaa
Saidoo hana faida kwenye Simba Sc hii, sijui kuna nini ambacho wengine hukiona kwake.

Udhaifu wake mkubwa ni kupoteza pasi kila anapopewa.
 
Back
Top Bottom