FT: Simba SC 1-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex| Robo Fainali | 08.01.2024

FT: Simba SC 1-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex| Robo Fainali | 08.01.2024

Kwani wasiosoma physics wanatulizaje?


Ujinga huu huu wa physics unaosomwa mashuleni??

Mtu anasoma current electricity, electeinics hadi form six na hajui hata kutengeneza radio ikiharibika
Hili ni kosa lako la uchaguzi wa shule mbovu. Sio public cry hii chifu
 
Utawaweza Sasa vijana wakishashiba magimbi😂😂.
Sasa akina Messi na Ronaldo ambao ni wa nyakati hizi wengi tunawajua walishachungulia hata darasa ukiachilia mbali kupata ALAMA za juu
Matokeo ya kusoma theory bila application😂😂


Yaani mtu analeta mambo ya prijectile motion katika mpira 😂😂 akipiga mpira juu basi ndio prijectile motion kashaapply


akituliza mpira anajiona kafanya application ya "elastic & inelastic collision"
 
Huyu saidooo natamani nipewe panga la wachezaji hata leo mbwa yule



Chezaji choyo sijapata ona
Sasa pale ile pasi ya kulia angetoa angekosa nini

Yani bora chama mshahara wa huyu kenge apewe yeye
Mpumbavu mchoyo balaa
Saidoo ni babu mwenye nuksi na gundu, simpendi km nn.
Ananichefua sanaa.
 
Back
Top Bottom