This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
kila mchezaji alisajiliwa ili acheze. Na wote ni bora. Sioni km amewadharau jkt.Ni either kocha ana waamini wachezaji wake au ame wa-underrate jkt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila mchezaji alisajiliwa ili acheze. Na wote ni bora. Sioni km amewadharau jkt.Ni either kocha ana waamini wachezaji wake au ame wa-underrate jkt
Kwa timu hii simba out , mapemaaaMnyama mkali Simba kuvaana na jkt Tanzania kwenye kombe la shirikisho la Azam ASFC, Leo saa 1 kamili usiku.
Kikosi tayari kimewasili uwanjani tayari kutafuta ushindi dhidi ya jkt Tanzania, hope itakua mechi nzuri na ya kuvutia, na yenye kila aina ya ufundi.
Kikosi ni kama kinavyoonekana hapa chini, hivyo for more updates ambatana nami hapa kwa dk zote 90.
View attachment 2044026
ni kinda,katokea gwambinaKwenye benchi kuna mchezaji anaitwa Jimmyson. ndio nani
Anajua aliyepanga, atatuambia baada ya Mechi.Sababu ya msingi ya kocha kuingiza kikosi cha hivi ni ipi?