Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Kwa hiyo mkalainishwa na wapiga debe?Waandishi na wachambuzi wa michezo katika nchi zao waliwashangaa Sakho na Banda kuja kucheza ligi ya Tanzania badala ya kwenda Ulaya. Sisi tunawashangaa waliwezaje kutushawishi Simba tukawasajili