FT: Simba SC 1-0 JKT Tanzania | ASFC | Benjamin Mkapa

Yes..
Naanza kumuona Kanoute akijiaamini..

Anapiga pasi zinafika, anafinya , anapokonya...
 
yaani ana pupa halafu yupo vizuri. huo uzuri ni upi?
Uzuri upo mkuu kuna vitu mtu unawez ukaviongeza au ukavipunguza na ukawa mzur,mapungufu yake ndy hayo ambay nimeyasema mchezaj hawez akawa perfect asilimia zote,
Jamaa ana mbio , nguv na hata driblling kwa kias fulan yupo vizur
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…