Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
5imba Guvu Moya wapigwe kama ngoma.Nasikitika hii mechi sita iangalia nitakuwa bize sana.
Shilingi moja atakamata
Kamara
2. Aanze Nouma Valentino
3. Kapombe- Kijiri ni mapepe sana, hajatulia kabisa sijui ni kwa nini.
4. Hamza- mdogo wangu Che Mallone ajitafakari kwanza kwa kutufungisha mala kwa mala kimataifa.
5. Chamou
6. Ngoma Fabris
7. Dr. Lucho Fundi
8. Kagoma
9. Attebaaaa
10. Mavambo Fernandez
11. Mpanzu.
jkt watakula 4:0 na bocco atajifungaLeo kutakuwa na matokeo ya kushangaza
Kumbe Sheikh Yahaya aliacha wajukuu wa kuendeleza kazi zake? 🤣Leo kutakuwa na matokeo ya kushangaza