Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Bila shaka umeomba kwa jina la huyu mtu wenu, dua la chura halimpati mnyama.Lolote liwakute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka umeomba kwa jina la huyu mtu wenu, dua la chura halimpati mnyama.Lolote liwakute
Lolote liwakute
SanaMungu Ibariki Simba Nguvumoja
Jibu ni ndio,kama kawaida yao dozi inaendelea....Simba Sports wanashuka dimbani kwenye soku ya mkesha wa krisimasi kumenyana na maafande wa JKT katika dimba la KMC
Je, Dozi ya goli 5 alizotoa Simba kwa Kagera ataendeleza kwa maafande?
Mechi ni Saa 10:15 jioni kupitia Azam Sports 1HD
Usikose uhondo huo
Hamna timu mle.Simba on fire
Jitie moyo hivo hivoLeo ndiyo siku mnyama atasimama pale kileleni kwa mala ya mwisho. All the best MAAFANDE JKT TANZANIA.
Juzi alikutana na vibonde ,JKt ya sahivi goli 5 wasahau labdah yatokee mengineSimba Sports wanashuka dimbani kwenye soku ya mkesha wa krisimasi kumenyana na maafande wa JKT katika dimba la KMC
Je, Dozi ya goli 5 alizotoa Simba kwa Kagera ataendeleza kwa maafande?
Mechi ni Saa 10:15 jioni kupitia Azam Sports 1HD
Usikose uhondo huo
Mtalala bila chupi mbonaKwa sisi tuliopitia mafunzo ya JKT, hakika tutaiombea heri kwenye mchezo wao wa leo.
Tunakuhurumia kwa maumivu unayoyapataLolote liwakute
Kama 🐸 alivyofanywa na wana lamba lambaSimba anashenyentwa leo
Dua la kuku hilo.JKT tanzania piga kitu inaitwa Extra drill, makolo watoe ulimi nje!
Hapa hamna goli tano....Simba Sports wanashuka dimbani kwenye soku ya mkesha wa krisimasi kumenyana na maafande wa JKT katika dimba la KMC
Je, Dozi ya goli 5 alizotoa Simba kwa Kagera ataendeleza kwa maafande?
Mechi ni Saa 10:15 jioni kupitia Azam Sports 1HD
Usikose uhondo huo