GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Una point ngapi huko MAKUNDU-CHI ?CafCC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una point ngapi huko MAKUNDU-CHI ?CafCC
Hujui mpiraIle siyo penalty
Aliyechewa faulo hakuwa na mpira
Utopolo hawajifichi😁Nimeamina bongo hakuna wachambuzi mahili wa sako wengi wao wanaongozwa na ushabiki..
Kiukweli leo simba imebebwa ile haikuwa penati hata kidogo. Wachambuzi wengi wanajifichia ktk sheria ya mchezaji kufanyiwa faulo ndani ya eneo la penati na kushindwa kuangalia kama huyo aliofanyiwa faulo alikuwa na possibility ya kuucheza uwo mpira au hata kuukalibia. Kwa hili lililotokea lea haikustaili kuwa penati hata kidogo
Ww nyuma mwiko mbna unaweweseka hvNimeamina bongo hakuna wachambuzi mahili wa sako wengi wao wanaongozwa na ushabiki..
Kiukweli leo simba imebebwa ile haikuwa penati hata kidogo. Wachambuzi wengi wanajifichia ktk sheria ya mchezaji kufanyiwa faulo ndani ya eneo la penati na kushindwa kuangalia kama huyo aliofanyiwa faulo alikuwa na possibility ya kuucheza uwo mpira au hata kuukalibia. Kwa hili lililotokea lea haikustaili kuwa penati hata kidogo
Kocha pia anapewa kadi hata kama hana mpiraIle siyo penalty
Aliyechewa faulo hakuwa na mpira
Wewe ni topolo kweli kweli, mpaka unatia hurumaIle siyo penalty
Aliyechewa faulo hakuwa na mpira
Mwingine huyu.Nimeamina bongo hakuna wachambuzi mahili wa sako wengi wao wanaongozwa na ushabiki..
Kiukweli leo simba imebebwa ile haikuwa penati hata kidogo. Wachambuzi wengi wanajifichia ktk sheria ya mchezaji kufanyiwa faulo ndani ya eneo la penati na kushindwa kuangalia kama huyo aliofanyiwa faulo alikuwa na possibility ya kuucheza uwo mpira au hata kuukalibia. Kwa hili lililotokea lea haikustaili kuwa penati hata kidogo
Mnataka kujamba kwenye Maji au?Mwisho wa siku utasikia tunakwenda Kwa mama kushtak,hongereni Kwa ushindi lakini msisahau sisi ndo wakali wa hizo kazi chafu,tulieni mtaona
Ila mnategemea mikono, paka ninyiWe kolo sisi hatutegemei penalty kushinda
Faulo ni faulo hata kama hakuna posibility ya kuucheza. Ukifanya faulo ndani ya 18 unaadhibiwa kwa pigo la penatiNimeamina bongo hakuna wachambuzi mahili wa sako wengi wao wanaongozwa na ushabiki..
Kiukweli leo simba imebebwa ile haikuwa penati hata kidogo. Wachambuzi wengi wanajifichia ktk sheria ya mchezaji kufanyiwa faulo ndani ya eneo la penati na kushindwa kuangalia kama huyo aliofanyiwa faulo alikuwa na possibility ya kuucheza uwo mpira au hata kuukalibia. Kwa hili lililotokea lea haikustaili kuwa penati hata kidogo
Uliza kwanza sheria za mpira.Nimeamina bongo hakuna wachambuzi mahili wa sako wengi wao wanaongozwa na ushabiki..
Kiukweli leo simba imebebwa ile haikuwa penati hata kidogo. Wachambuzi wengi wanajifichia ktk sheria ya mchezaji kufanyiwa faulo ndani ya eneo la penati na kushindwa kuangalia kama huyo aliofanyiwa faulo alikuwa na possibility ya kuucheza uwo mpira au hata kuukalibia. Kwa hili lililotokea lea haikustaili kuwa penati hata kidogo
Kwani kwenye fouls and misconduct wao fifa wanasemajeIla Duu leo hata mimi nisiye zijua sheria za boli, kwa kuunganisha nukta unapata jibu la alama ya kuuliza ?